UJENZI WA AIRPORT MPYA UMEFIKIA 81%

• Ni uwanja wa Ndege wa Kisasa na bora zaidi kwa Afrika Mashariki na Kati

• Jina lake litabaki lile lile Uwanja waNdege wa Kimataifa (Julius Nyerere Julius Nyerere International Airport)

Ad

• Huduma kwa wasafiri kuongezeka kwa 400% ambapo itakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 6 kwa mwaka kutoka abiria milioni 1.5 wanaohudumiwa na kiwanja kilichopo sasa.

• Kukamilika Mei 2019

Ad

Unaweza kuangalia pia

BENKI YA BIASHARA NA MAENDELEO MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA YAAHIDI KUTOA FEDHA UJENZI WA RELI YA KISASA

Rais na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara na Maendeleo Mashariki na Kusini mwa Afrika …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *