Makamu wa Rais

Je, mikakati hii ya uongozi wa Dkt. Mpango inaweza kuwa dira ya mafanikio ya maendeleo ya taifa letu?

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameonyesha falsafa ya uongozi inayojikita katika maadili, utendaji wenye tija, na maendeleo ya taifa. Maadili na Uwajibikaji: Dkt. Philip Mpango anasisitiza maadili na uwajibikaji katika uongozi wake. Anaamini katika uadilifu, uwazi, na kufuata misingi ya utawala bora katika …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WOMENLIFT HEALTH

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Maelezo kutoka kwa Bi. Doris Mollel ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Doris Mollel kuhusu vifaa vya kutunza watoto njiti wakati Makamu wa Rais akikagua mabanda mbalimbali kwenye Mkutano wa WomenLift Health 2024 unaofanyika katika Kituo cha …

Soma zaidi »

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa,Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali na wageni waalikwa katika hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa kwaajili ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba wakati wa ziara yake nchini Tanzania. Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 24 Januari 2024.Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa,Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali na wageni waalikwa katika hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa kwaajili ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba

Soma zaidi »