Tanzania MpyA+

TPA NA EACOP WAFIKIA MAKUBALIANO KUIMARISHA BANDARI YA TANGA KWA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA AFRIKA MASHARIKI

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeingia mikataba mitatu na East African Crude Oil Pipeline ( EACOP) Limited kwa ajili ya kuridhia kutumika kwa Bandari ya Tanga katika kutekeleza mradi wa kimkakati wa ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani, Tanga Tanzania. …

Soma zaidi »

NDEGE MPYA AINA YA BOENG 737 MAX 9, KUONGEZA UFANISI KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI WA ANGA- TANZANIA

Uwezo wa Abiria Boeing 737 MAX 9 ina uwezo wa kubeba abiria kati ya 178 hadi 220, ingawa idadi halisi inaweza kutofautiana kulingana na usanidi wa ndege. Ufanisi wa Mafuta Moja ya sifa kuu za Boeing 737 MAX 9 ni ufanisi wake wa mafuta. Ndege hii hutumia teknolojia ya hali …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA MRADI WA MAJI SAME MWANGA KOROGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maji Maji wa Same – Mwanga – Korogwe wakati alipotembelea chanzo cha mradi huo eneo la la Nyumba yaMungu Wilaya ya Mwanga wakati akiwa ziarani mkoani Kilimanjaro tarehe 21 Machi 2024. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika eneo la Nyumba ya Mungu Wilaya ya Mwanga kwaajiliya kutembelea na kukagua chanzo cha maji cha mradi wa Maji wa Same – Mwanga – Korogwe wakati akiwa ziarani mkoani Kilimanjaro tarehe 21 Machi 2024. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameagiza uongozi wa Wizara ya Maji pamoja na …

Soma zaidi »

TATHMINI YA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI TANZANIA CHINI YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

Miradi ya kimkakati nchini Tanzania, chini ya Serikali ya Awamu ya Sita, inaleta mabadiliko makubwa na matokeo chanya katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Hapa ni tathmini fupi ya maendeleo ya miradi hiyo: Daraja la Kigongo – Busisi Mafanikio, Mradi umefikia asilimia 75 ya utekelezaji, ukionyesha maendeleo makubwa. Ujenzi wa …

Soma zaidi »

MAFANIKIO YA SEKTA YA UJENZI KATIKA MKOA WA ARUSHA 

 Sekta ya Ujenzi imepata mafanikio makubwa katika Mkoa wa Arusha. Kupitia juhudi zilizofanywa na Serikali kupitia TANROADS, kumekuwa na maboresho makubwa katika miundombinu ya barabara na madaraja. Kulingana na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Arusha, Mha. Reginald R. Massawe, kumekuwa na ongezeko la kilometa 53 za barabara za lami, ambapo …

Soma zaidi »

DARAJA LA KIGONGO – BUSISI: UJENZI MPYA WA KUVUKA ZIWA VICTORIA KULETA MABADILIKO MAKUBWA TANZANIA

Daraja la Kigongo – Busisi, lenye urefu wa kilometa 3.2, linalojengwa katika Ziwa Victoria mkoani Mwanza, linajitokeza kama mradi wa kuvutia wa miundombinu nchini Tanzania. Mradi huu wa ujenzi wa daraja umekuja kuleta mabadiliko makubwa katika eneo hilo la Kigongo – Busisi, na unatarajiwa kuchangia sana katika kuimarisha miundombinu ya …

Soma zaidi »

 Maji Safi ni Kijiji kwa Kijiji: Mafanikio na Maendeleo ya Miradi ya Maji Vijijini nchini Tanzania (Julai hadi Desemba 2023)

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kutekeleza ahadi yake ya kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi, hususan wale wanaoishi vijijini. Katika kipindi cha Julai hadi Desemba 2023, serikali imeripoti mafanikio makubwa katika kuleta huduma bora za maji kwa vijiji vyetu. Hapa ni muhtasari wa maendeleo …

Soma zaidi »

WATAALAMU WA GST WAENDELEA NA UTAFITI WA MADINI PEMBA: KUKUZA MAENDELEO ENDELEVU KATIKA SEKTA YA MADINI

Katika utekelezaji wa Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Wizara ya Madini Tanzania Bara na Wizara ya Nishati, Maji na Madini ya Zanzibar, timu ya wataalamu kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) inaendelea na shughuli za utafiti katika Visiwa vya Pemba. Utafiti huo unalenga kuchunguza rasilimali …

Soma zaidi »