Recent Posts

Falsafa ya 4R’s (MUMU) na Uchaguzi wa Serikaliza Mitaa 27/11/2024.

Falsafa ya 4R’s (Maridhiano, Uvumilivu, Mageuzi, na Ujenzi Upya (MUMU) ina manufaa makubwa katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, hasa inapohusisha uwazi na ushirikiano wa vyama vyote vinavyoshiriki. Hapa kuna faida zake katika muktadha wa uchaguzi huu: 1. Maridhiano (Reconciliation): Falsafa hii inalenga kuleta amani na mshikamano kati …

Soma zaidi »

LAND ROVER YA MBAO YA WADUDU WA CHUGA YAVUTIA WENGI

Land Rover ya Wadudu wa Chuga imevutia umati mkubwa kwenye #ArushaLandRoverFestival2024. Tukio hili lilifanyika kuadhimisha urithi wa kipekee wa Land Rover na mchango wake katika sekta ya magari duniani. Land Rover maarufu ya “Wadudu wa Chuga,” gari la kipekee linalotumiwa na wenyeji wa maeneo ya Arusha, liliwashangaza wengi kutokana na …

Soma zaidi »

Ujenzi wa Miundombinu ya Shule za Msingi;

Ujenzi wa vyumba vya madarasa zaidi ya 15,000 ulitekelezwa chini ya mpango wa kuboresha elimu ya msingi, hasa kupitia miradi ya SEQUIP (Secondary Education Quality Improvement Program) na BOOST (Boost Primary Education Program). #KaziIemdelee#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »