Recent Posts
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Taasisi ya Sayansi za Bahari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ina Mchango Mkubwa katika Mipango na Sera za kuendeleza Uchumi wa Buluu unaozingatia matumizi endelevu ya rasilimali za Bahari
Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo alipoweka jiwe la Msingi Jengo la Taaluma na Utawala la taasisi hiyo Buyu ,Wilaya ya Magharibi B ,Mkoa wa Mjini Magahribi. Aidha Rais Mwinyi ameahidi Serikali kuendelea Kushirikiana na Taasisi hiyo wakati wote kwa lengo la kuhakikisha Rasilimali za Bahari ziliyopo zinatumika ipasavyo ili kutoa Mchango …
Soma zaidi »SP DKT. EZEKIEL KYOGO ATOA SOMO LA AMANI KWA MAELFU YA WATANZANIA USIKU WA MWAKA MPYA
Mrakibu wa Polisi SP Dkt. Ezekiel Kyogo akitoa elimu kuhusu umuhimu wa amani na utulivu kwa Maelfu ya waumini wa kanisa la Arise and Shine walikusanyika katika viwanja vya Tanganyika Packers vilivyopo Kawe jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia Januari 1, 2025.
Soma zaidi »Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetenga zaidi ya shilingi bilioni 250 katika mwaka wa fedha 2024/25 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa na vifaa tiba kwa vituo vyote vya kutolea huduma za afya ya msingi katika Halmashauri zote 184 nchini
Taarifa hii imetolewa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Mheshimiwa Dkt. Festo Dugange, wakati akijibu swali la Mheshimiwa Dkt. Pius Chaya, Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki. Dkt. Chaya alitaka kufahamu mpango wa Serikali wa kupeleka jokofu la kuhifadhia maiti katika Kituo cha …
Soma zaidi »SERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 29.5 KWA MIRADI YA UKARABATI WA BARABARA MKOANI PWANI
Serikali imetenga jumla ya shilingi bilioni 29.5 kwa ajili ya kugharamia miradi ya ukarabati na ujenzi wa barabara mkoani Pwani. Hayo yameelezwa na Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Pwani, Mhandisi Baraka Mwambage, wakati wa kikao cha bodi ya barabara kilichofanyika wilayani Kibaha jana. Mhandisi Mwambage alisema …
Soma zaidi »Je, ni mikakati gani inayoweza kutekelezwa ili kuhakikisha ongezeko endelevu la thamani ya mauzo ya kahawa ya Tanzania nje ya nchi, huku ikizingatiwa changamoto za mabadiliko ya viwango vya ubadilishaji fedha na ushindani wa kimataifa?
#MSLAC#Katibanasheria#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya @SuluhuSamia @matokeochanya @sisiniTanzania @KassimMajaliwa_ @dr_mpango
Soma zaidi »TRA Yavunja Rekodi: Yakusanya Trilioni 16.528 Kwa Kipindi cha Miezi Sita Julai – Desemba 2024
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya mapato nchini kwa kukusanya kiasi cha TZS trilioni 16.528 ndani ya kipindi cha miezi sita kuanzia Julai hadi Desemba 2024. Hii ni hatua muhimu inayodhihirisha juhudi madhubuti za serikali katika kuongeza mapato ya ndani na kuboresha mifumo ya ukusanyaji …
Soma zaidi »Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Afya Jenista Mhagama mara baada ya kushiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Bikira Maria Mama wa Mungu na Mwaka Mpya 2025 iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma tarehe 01 Januari 2025
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiambatana na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameungana na Waumini mbalimbali katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Bikira Maria Mama wa Mungu na Mwaka Mpya 2025 iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma
Akizungumza na waumini mara baada ya Misa hiyo, Makamu wa Rais ameungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali kuwatakia watanzania wote heri na baraka kwa mwaka mpya 2025. Makamu wa Rais ametoa wito kwa viongozi wa dini, …
Soma zaidi »Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa akisisitiza umuhimu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kuboresha utendaji kazi wa serikali na utoaji wa huduma kwa wananchi
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Soma zaidi »