Karibu ujiunge nasi moja kwa moja kutoka TIA Singida kwenye Vijana Platform Campus Connect. Katika mjadala huu maalum, tunayo heshima ya kuwa na Mgeni Rasmi, Mhe. Waziri Joel Arthur Nanauka, ambaye atazungumza na vijana wa chuoni kuhusu fursa, ajira, uongozi na nafasi ya vijana katika maendeleo ya taifa. Campus Connect …
Soma zaidi »Recent Posts
RAIS WA UGANDA, YOWERI MUSEVENI AKIWASILI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili nchini Tanzania, kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Pamoja na masuala mengine, Rais Museveni atafanya mazungumzo ya pande mbili na mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na baadaye kuzungumza na vyombo …
Soma zaidi »HAZINA ILIYOFICHWA MAJINI
Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi za maji. Tuna Bahari ya Hindi, Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa na maziwa mengine madogo madogo. Ndani ya maji haya kuna utajiri mkubwa sana ambao mara nyingi hauonekani moja kwa moja, na mojawapo ni dagaa. Dagaa ni samaki wadogo lakini mchango wao ni …
Soma zaidi »BAHARI NI DHAHABU, KWA NINI UCHUMI WA BULUU NI MUHIMU KWA MAENDELEO YA TAIFA ?
NGUVU YA BAHARI JINSI UCHUMI WA BULUU UNAVYOBADILISHA MAISHA YA WATANZANIA.
🔴LIVE: SIKU YA SHERIA NCHINI 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini, 2026, yenye kauli mbiu: “Mchango wa Mahakama katika Ustawi na Maendeleo ya Taifa.” 📅 Tarehe: 2 Februari, 2026 📍 Mahali: Makao Makuu ya Mahakama – Dodoma Mahakama ya Tanzania …
Soma zaidi »🔴LIVE: SIKU YA SHERIA NCHINI 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini, 2026, yenye kauli mbiu: “Mchango wa Mahakama katika Ustawi na Maendeleo ya Taifa.” 📅 Tarehe: 2 Februari, 2026 📍 Mahali: Makao Makuu ya Mahakama – Dodoma Mahakama ya Tanzania …
Soma zaidi »Kagera River Girls: Uwekezaji wa Bilioni 4.1 Unaobadilisha Ndoto za Wasichana Kuwa Mafanikio ya Taifa
Katika Wilaya ya Karagwe, Kata ya Kanoni, kunasimama kwa fahari Shule ya Sekondari Kagera River Girls—taa ya matumaini na ushahidi hai kwamba uwekezaji sahihi katika elimu ya wasichana huzaa matunda makubwa kwa jamii na taifa kwa ujumla. Mradi huu wa kimkakati wa shule ya wasichana ulianza Februari 2022 na hadi kukamilika kwake umegharimu …
Soma zaidi »KIUMA Yageuza Taka za Plastiki kuwa Ajira na Tumaini Karagwe
VIJANA KAZINI, MAZINGIRA SALAMA: Na Mwandishi Wetu Katika kipindi ambacho changamoto za ajira na uchafuzi wa mazingira zimekuwa zikiongezeka, kikundi cha vijana cha KIUMA kutoka wilayani Karagwe kimeibuka kama mfano halisi wa ubunifu, uthubutu na matumaini mapya kwa vijana wa Tanzania. Kikundi hiki kilianzishwa mwaka 2023 na vijana waliodhamiria kuchukua hatua dhidi ya taka …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+




