Recent Posts

WAZIRI MKUU DKT MWIGULU AMESEMA ATASIMAMIA MAELEKEZO YA KATIBA YA TANZANIA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kali dhidi ya muuguzi mmoja mkoani Tabora anayedaiwa kufanya upasuaji wa mgonjwa nyumbani kwake kinyume na maadili ya taaluma ya afya. Akizungumza leo Machi 4, 2026 alipokuwa akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Machinga jijini Dodoma baada ya kusimamishwa na …

Soma zaidi »

FENTANYL DAWA HATARI ZAIDI DUNIANI ZAKAMATWA TANZANIA

Fentanyl ni dawa ya maumivu yenye nguvu sana. Hutumika hospitalini kutuliza maumivu makali, hasa baada ya upasuaji au kwa wagonjwa wa saratani. Ni dawa ya kundi la opioids, sawa na morphine lakini ina nguvu zaidi mara 50 hadi 100 kuliko morphine. Fentanyl ni nini hasa? Ni dawa ya kitabibu inayotolewa …

Soma zaidi »

Mkurugenzi wa Ofisi ya Zanzibar ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndg. Adam Mkina leo tarehe 24 Februari, 2026, ametembelea mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura katika Kata ya Shiwinga iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, Mkoani Songwe ambapo amewataka watendaji hao kufanya kazi kwa weledi

Mkina amewaasa washiriki wazingatie mafunzo waliyoyapata na kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria za uchaguzi ili kufanikisha uchaguzi huo. Amewasisitiza kuzingatia viapo walivyoapa, kuzingatia ujazaji wa fomu za uchaguzi katika hatua zote za uchaguzi ili kuepuka changamoto zinazoweza kujitokeza na kwamba inapotokea changamoto katika vituo washirikiane kuzitatua ili …

Soma zaidi »

Naibu Waziri Ofisi Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi ) Mhe.Hamza Hassan Juma wakati wa ziara ya kikazi leo Februari 16, 2026 Zanzibar.

Katika mazungumzo yao viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa Serikali hizo mbili katika kulinda Muungano. Naibu Waziri Dkt. Dugange alipongeza kazi kubwa ya maendeleo inayofanywa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) chini ya Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi. Alisema kuwa kupitia maendeleo hayo yanaimarisha uchumi wa Zanzibar na …

Soma zaidi »

DCEA YAKAMATA KILOGRAMU 299.8 NA KUTEKETEZAEKARI 203 ZA MIRUNGI SAME

Kilimanjaro, Februari 17, 2026. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama hususan Jeshi la Polisi, kuanzia tarehe 10 hadi 16 Februari, 2026, imefanya operesheni maalum katika vijiji vya Marieni na Mhero vilivyopo kata ya Chome, wilaya ya Same, Kilimanjaro …

Soma zaidi »

🔴 LIVE: KUTOKA TIA SINGIDA | VIJANA PLATFORM CAMPUS CONNECT.

Karibu ujiunge nasi moja kwa moja kutoka TIA Singida kwenye Vijana Platform Campus Connect. Katika mjadala huu maalum, tunayo heshima ya kuwa na Mgeni Rasmi, Mhe. Waziri Joel Arthur Nanauka, ambaye atazungumza na vijana wa chuoni kuhusu fursa, ajira, uongozi na nafasi ya vijana katika maendeleo ya taifa. Campus Connect …

Soma zaidi »