Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Stendi Mwanhuzi ambapo Rais Magufuli anawahutubia wananchi wa Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu Bofya link hii ili kutazama
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: September 9, 2018
MAKAMU WA RAIS AWASILI KATIKA KANISA LA PENTEKOSTE MOTOMOTO MKOANI KIGOMA ASUBUHI HII
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tayari amewasili kwenye kanisa la Pentekoste Motomoto Jimbo la Tanganyika mkoani Kigoma kushuhudia kusimikwa kwa Askofu Mkuu Msaidizi na Maaskofu wa Majimbo.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Soma zaidi »Live: Rais Magufuli amesimamna na kuzungumza na wananchi wa Kisesa- Simiyu
Bofya link Hii kutazama
Soma zaidi »MISS TANZANIA 2018
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akizungumza katika mashindano ya fainali ya kumtafuta Miss Tanzania 2018 yaliyofanyika katika kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere International Convention Centre,jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi »