TAKUKURU; HANSPOPE WA SIMBA, ANAYEFAHAMU ALIPO ATUPE TAARIFA HARAKA

  • Waahidi donge nono kwa yeyote atakayetoa taarifa za alipo Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba Zacharia Hanspope
  • Pia, taarifa zinahitajika kwa yeyote anayefahamu alipo Franklin Lauo aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo ambaye alitumia rushwa na kupata tenda ya ujenzi wa Kiwanja cha Mpira wa Miguu cha klabu hiyo huku akijua hana vigezo (hajasajiliwa katika bodi ya Wakandarasi nchini.

Ad

Unaweza kuangalia pia

BANDARI YA DAR ES SALAAM INAPANUKA NA KUIMARIKA: HATUA MUHIMU KWA UCHUMI WA TANZANIA

Bandari ya Dar es Salaam ni kitovu muhimu cha biashara na uchumi wa Tanzania, na …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *