AHADI: Hii hapa ahadi ya Rais Dkt Mgufuli iliyotimiA

Ikumbukwe kwamba mnamo tarehe 17 Octoba 2015 katika kampeni za uchaguzi mkuu 2015, Dk Magufuli alifanya kampeni katika jimbo la Segerea, aliwaomba wakazi wa Dar es Salaam wampatie kura Oktoba 25 ili aweze kutekeleza miradi hiyo mikubwa itakayoenda sanjari na ujenzi wa barabara za juu zitakazopunguza foleni.

LEO AHADI IMETIMIA BAADA YA KUANZA RASMI KUTUMIKA KWA FLYOVER MPYA YA Eng. Patrick MFUGULE

Ad

Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: RAIS MAGUFULI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA (LAW DAY ) – JNICC DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 06 Febuari, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *