Maktaba ya Kila Siku: October 17, 2018

TANZANIA YAJITOSHELEZA KWA CHAKULA MIAKA MITANO MFULULIZO-Dkt. TIZEBA

Tanzania imeendelea kuwa ghala la chakula kwa nchi za jirani kwa kipindi kirefu baada ya kujitosheleza kwa chakula takribani kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo. Tanzania imeweza kuuza ziada ya mazao mbalimbali ya chakula katika nchi za nje. Kulingana na takwimu zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kipindi …

Soma zaidi »