Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akiagana na Makamu wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mohammed Garib Bilal alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kumjulia hali.

MKUCHIKA AMTEMBELEA MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. GHARIB BILAL

WAZIRI GEORGE MKUCHIKA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akisalimiana na Makamu wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Garib Bilal alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kumjulia hali.
MAKAMU WA RAIS MSTAAFU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika akifafanua jambo kwa Makamu wa Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Garib Bilal alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es Salaam kumjulia hali.
Ad

Unaweza kuangalia pia

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa uwezo wa nchi kuzalisha umeme umefikia megawati 3,169.20. Kati ya kiwango hicho, megawati 3,091.7 zimeunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, ikiwa ni sawa na asilimia 97.55 ya umeme wote unaozalishwa nchini

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, mafanikio haya yanatokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *