Ni raia wawili wa Afrika ya Kusini.. wapelelezi watambua majina yao na walipokuwa wakiishi jijini Dar es Salaam kwa muda wa miezi kadhaa. Walifikia hotel ya Whitesands na kisha kupanga nyumba eneo la Mbezi Beach kama wafanyabiashara wa Madini. Nyumba na chumba waliomfungia mfanyabiashara huyo wapelelezi mahiri wa vyombo vya …
Soma zaidi »