Maktaba ya Kila Siku: November 30, 2018

RAIS DKT MAGUFULI NA UHURU KENYATA KUZINDUA KITUO CHA FORODHA CHA PAMOJA Disemba 1, 2018

Dkt John Magufuli na Rais Uhuru Kenyata  kesho wanatarajia kuzinduwa kituo cha Forodha cha pamoja Namanga One Stop Bonder Point.Aidha Disemba 2,  mwaka huu Rais John Magufuli ataweka jiwe la Msingi la mradi mkubwa wa maji wenye thamani ya sh bilioni 520  katika Jiji la Arusha na baadhi ya maeneo …

Soma zaidi »