Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohamed Shein katikati akimkabidhi Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mgeni Hassan Juma cheti cha uteuzi wa ubalozi wa Mradi wa Uchunguzi wa Saratani ya shingo ya kizazi katika hafla ya Uzinduzi wa mradi huo ukumbi wa sheikh Idriss Abdulwakil kikwajuni Zanzibar.
RAIS DKT. SHEIN AZINDUA MRADI WA UCHUNGUZI WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI ZANZIBAR
Matokeo ChanyA+
December 6, 2018
Tanzania MpyA+
960 Imeonekana
Unaweza kuangalia pia
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewaapisha viongozi …