Maktaba ya Kila Siku: December 17, 2018

Sote ni mashahidi wa namna lugha ya Kiswahili imeendelea kukua kwa kasi – Makamu wa Rais

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka Jamii kubadili fikra kwa kuchunguza na kufikiria jinsi ya kutumia vipengele mbalimbali vya lugha ya Kiswahili na Utamaduni wake kama bidhaa ya biashara. Makamu wa Rais ameyasema hayo leo wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Nne la Kimataifa la Kiswahili lililoandaliwa na Chama …

Soma zaidi »