Uboreshaji wa Reli ya Kati – TIRP kutoka Dar es Salaam hadi Isaka yenye urefu wa kilometa 900 pamoja na uboreshaji wa tuta na kuweka reli mpya zenye uwezo wa kubeba mzigo mkubwa na kwenda kasi zaidi ya kilometa 70 kwa saa ili kuokoa muda na kutoa huduma ya uhakika …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: February 2, 2019
MUHIMBILI YAFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA KUANGALIA UVIMBE KWENYE MATITI BILA KUFANYA UPASUAJI
Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mloganzila kwa kushirikiana na Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (MEWATA) leo imetoa huduma ya uchunguzi wa awali wa kuangalia uvimbe kwenye matiti bila kufanya upasuaji. Akizungumzia zoezi hilo mtaalam wa Radiolojia wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mloganzila Dkt. Lulu Sakafu amesema katika zoezi hilo endapo mgonjwa …
Soma zaidi »KAGERA YATENGEWA HEKTA 58,000 KWA AJILI YA VIWANDA
Serikali imeeleza kuwa mikakati inayoendelea kutekelezwa na kuratibiwa katika Mkoa wa Kagera ni pamoja na kutenga maeneo ya uwekezaji yenye ukubwa wa hekta 58,000 kwa ajili ya kuanzisha viwanda vya kusindika na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo (Agro Processing Industries) hususani viwanda vya kusindika nyama, maziwa, asali, ndizi, miwa, …
Soma zaidi »