MAENEO 17 YA DAR KUFUNGWA CCTV CAMERA

CAMERA
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Jacob Kingu, amesema kuwa maeneo 17 Jijini Dar  Es Salaam kufungwa CCTV Kamera amesema hayo wakati akiongoza Kikao cha wadau kujadili Mradi wa kuweka Kamera za Kudhibiti Uhalifu(CCTV Kamera) katika maeneo 17 jijini Dar es Salaam.
MAMBO YA NDANI
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Jacob Kingu, amesema kuwa maeneo 17 Jijini Dar  Es Salaam kufungwa CCTV Kamera amesema hayo wakati akiongoza Kikao cha wadau kujadili Mradi wa kuweka Kamera za Kudhibiti Uhalifu(CCTV Kamera) katika maeneo 17 jijini Dar es Salaam.
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: HAFLA YA UAPISHO WA VIONGOZI WATEULE – IKULU DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 03 Febuari, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *