Maktaba ya Kila Siku: April 26, 2019

RAIS MAGUFULI AZINDUA JENGO LA NHIF TOWER MKOANI MBEYA

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa kazi kubwa inayofanya. Hayo ameyasema kwenye mkutano wa hadhara mkoani Mbeya kwenye viwanja vya Ruanda Nzove wakati akizungumza na wananchi muda mfupi baada ya kuzindua jengo la NHIF Tower …

Soma zaidi »