Rais Dkt. John Magufuli leo amefungua Barabara ya Mbeya- Lwanjilo-Chunya ya urefu wa Kilomita 72 na kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Barabara ya Chunya- Makongolosi ya urefu wa Kilomita 39.

RAIS MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA MBEYA – LWANJILO – CHUNYA

rais
Rais Dkt. John Magufuli akipongezwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila mara baada ya kufungua Barabara ya Mbeya- Lwanjilo-Chunya ya urefu wa Kilomita 72 na kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Barabara ya Chunya- Makongolosi ya urefu wa Kilomita 39.
rais
Rais Dkt. John Magufuli akiwasili katika Viwanja vya Sabasaba Wilayani Chunya kwenye mkutano wa hadhara baada ya kufungua Barabara ya Mbeya- Lwanjilo-Chunya ya urefu wa Kilomita 72 na kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Barabara ya Chunya- Makongolosi ya urefu wa Kilomita 39.
CHUNYA-6
Barabara ya Mbeya- Lwanjilo-Chunya ya urefu wa Kilomita 72 
CHUNYA-5
Barabara ya Mbeya- Lwanjilo-Chunya ya urefu wa Kilomita 72

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS MAGUFULI ATEMBELEA DAR ES SALAAM ZOO, AVUTIWA NA WANYAMA WENGI WANAOFUGWA HUMO

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *