Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Igurusi hawaonekani pichani mara baada ya kuwasili katika eneo hilo akitokea jijini Mbeya.

LIVE:RAIS MAGUFULI AKIWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA MAKTABA YA CHUO CHA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST)

 

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli  anaendelea na ziara  ya kikazi mkoani mbeya ambapo leo ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa maktaba katika chuo kikuu cha Teknolojia Mbeya pamoja na kuzindua upanuzi wa Kiwanda cha Mbeya CEMENT.
  • Katika uzinduzi huo wapo viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo waziri wa Tamisemi Selemani Jafo, Waziri wa Elimu Joyce Ndalichako, Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Elias Kwandikwa na Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga.
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI YA CANADA YATOA FEDHA ZA KITANZANIA BILIONI 90 KWA AJILI YA UJENZI WA MRADI WA VYUO VYA UALIMU NCHINI

Kiasi cha fedha za kitanzania bilioni 90 zimetolewa na Serikali ya Canada kupitia mradi wa  …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *