SOKO LA MADINI LA FUNGULIWA CHUNYA

MADINI-1
Katibu Mkuu wa Madini Prof. Simon Msanjila akizungumza wakati wa kuzindua Soko la Madini Chunya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Maagizo ya Rais Dkt. John Magufuli ya kutaka Wilaya ya Chunya kuhakikisha inaanzisha Soko la Madini ndani ya kipindi cha Siku 7 tangu kutolewa kwa agizo hilo.
katibu mkuu
Katibu Mkuu wa Madini Prof. Simon Msanjila amezindua Soko la Madini Chunya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Maagizo ya Rais Dkt. John Magufuli ya kutaka Wilaya ya Chunya kuhakikisha inaanzisha Soko la Madini ndani ya kipindi cha Siku 7 tangu kutolewa kwa agizo hilo.
WADAU
Wadau wa Madini wakafatilia tukio la uzinduzi  Soko la Madini Chunya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Maagizo ya Rais Dkt. John Magufuli ya kutaka Wilaya ya Chunya kuhakikisha inaanzisha Soko la Madini ndani ya kipindi cha Siku 7 tangu kutolewa kwa agizo hilo.
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI INATEKELEZA MPANGO KAZI WA BLUE PRINT ILI KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI

Wadau wote kupitia vyama vyao waitwa kuleta mapendekezo ili kuboresha sekta zao ikiwa Serikali ipo …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *