MAPATO BANDARI YA KIGOMA YAONGEZEKA

BD
Idadi ya meli zinazohudumiwa katika Bandari ya Kigoma zimeongezeka katika kipindi cha miaka mitano kutoka meli 296 mwaka 2013/14 hadi meli 434 mwaka 2017/18.Hali Kadhalika shehena inayohudumiwa katika bandari ya kigoma imeongeza kutoka tani 88,390 mwaka 2013/14 hadi tani 196,844 mwaka 2017/18
BD
Idadi ya meli zinazohudumiwa katika Bandari ya Kigoma zimeongezeka katika kipindi cha miaka mitano kutoka meli 296 mwaka 2013/14 hadi meli 434 mwaka 2017/18. Hali Kadhalika shehena inayohudumiwa katika bandari ya kigoma imeongeza kutoka tani 88,390 mwaka 2013/14 hadi tani 196,844 mwaka 2017/18
Ad

Unaweza kuangalia pia

UJENZI WA ZAHANATI YA KIJIJI CHA KALENGE WAKAMILIKA

Wananchi wa kijiji cha Kalenge wilayani Uvinza wameishukuru kwa Serikali kukamilika ujenzi wa zahanati na …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *