Sehemu moja ya ujenzi wa Gati jipya katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa imekamilika na tayari imeanza kutumika kwa majaribio. Gati jipya hili limejengwa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam wa “DMGP”

UJENZI WA GATI NAMBA MOJA WAKAMILIKA KATIKA BANDARI YA DAR

GATI
Sehemu moja ya ujenzi wa Gati jipya katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa imekamilika na tayari imeanza kutumika kwa majaribio. Gati jipya hili limejengwa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam wa “DMGP”
  • Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe amesema ujenzi wa gati namba moja umekamilika kati ya gati nane zinazotarajiwa kujengwa na kuongeza kuwa  ujenzi wa  gati namba mbili utakamilika Julai katikati na litakuwa na urefu wa mita 255.
  • Waziri Kamwele amesema hayo leo katika bandari ya Dar es salaam wakati akizindua gati namba moja na kuongeza kuwa mradi wa ujenzi wa gati zote utakamilika mwezi wa saba mwaka 2020.
Ad

Unaweza kuangalia pia

UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. PANGANI II WAKAMILIKA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *