Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali aliko mwakilisha Rais Dkt . John Pombe Magufuli katika sherehe za miaka 25 ya Ukombozi wa Nchi hiyo .Julai 4/2019 anayeshudia ni Rais wa Sierra leon Mh Mada Bio

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI NCHINI RWANDA

PM 1-01
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mjini Kigali aliko mwakilisha Rais Dkt . John Pombe Magufuli katika sherehe za miaka 25 ya Ukombozi wa Nchi hiyo .Julai 4/2019 anayeshudia ni Rais wa Sierra leon Mh Mada Bio Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa amejumuika na Viongozi wenzake katika Maadhimisho ya miaka 25 ya Ukombozi wa Rwanda
PM 2-01
Askari wa JWTZ wakiwa katika sherehe ya miaka 25 ya Ukombozi wa Rwanda
Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS MAGUFULI ATEMBELEA DAR ES SALAAM ZOO, AVUTIWA NA WANYAMA WENGI WANAOFUGWA HUMO

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *