Waziri wa Viwanda Innocent Bashungwa akiwa mkoani Kilimanjaro kwenye ziara ya kikazi ambapo amewagiza CAMARTEC, TEMDO, SIDO, TIRDO na NDC kwenda kwenye uhalisia wa kuzalisha zana ndogo wanazotumia wakulima katika shughuli zao za kilimo cha mashamba madogo madogo.Waziri wa Viwanda Innocent Bashungwa akiwa mkoani Kilimanjaro kwenye ziara ya kikazi ambapo amewagiza CAMARTEC, TEMDO, SIDO, TIRDO na NDC kwenda kwenye uhalisia wa kuzalisha zana ndogo wanazotumia wakulima katika shughuli zao za kilimo cha mashamba madogo madogo.Ziara ya Waziri wa ViwandaWaziri wa Viwanda, Innocent Bashungwa amezindua tela la kubebea mizigo lenye uwezo wa kubeba mzigo wa tani moja hadi 2 kwa ajili ya matrekta yanayouzwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia mradi wake wa matrekta ya Ursus uliopo KMTC KilimanjaroTela la kubebea mizigo lenye uwezo wa kubeba mzigo wa tani moja hadi 2 kwa ajili ya matrekta yanayouzwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia mradi wake wa matrekta ya Ursus uliopo KMTC Kilimanjaro