WAZIRI WA VIWANDA AFANYA ZIARA MKOANI KILIMANJARO

IN 1-01
Waziri wa Viwanda Innocent Bashungwa akiwa mkoani Kilimanjaro kwenye  ziara ya kikazi ambapo amewagiza CAMARTEC, TEMDO, SIDO, TIRDO na NDC kwenda kwenye uhalisia wa kuzalisha zana ndogo wanazotumia wakulima katika shughuli zao za kilimo cha mashamba madogo madogo.
IN 2-01
Waziri wa Viwanda Innocent Bashungwa akiwa mkoani Kilimanjaro kwenye ziara ya kikazi ambapo amewagiza CAMARTEC, TEMDO, SIDO, TIRDO na NDC kwenda kwenye uhalisia wa kuzalisha zana ndogo wanazotumia wakulima katika shughuli zao za kilimo cha mashamba madogo madogo.
IN 3-01
Ziara ya Waziri wa Viwanda
IN
Waziri wa Viwanda, Innocent Bashungwa amezindua tela la kubebea mizigo lenye uwezo wa kubeba mzigo wa tani moja hadi 2 kwa ajili ya matrekta yanayouzwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia mradi wake wa matrekta ya Ursus uliopo KMTC Kilimanjaro
IN 6-01
Tela la kubebea mizigo lenye uwezo wa kubeba mzigo wa tani moja hadi 2 kwa ajili ya matrekta yanayouzwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kupitia mradi wake wa matrekta ya Ursus uliopo KMTC Kilimanjaro
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KAIRUKI ATEMBELEA KIWANDA CHA KUCHAKATA BETRI CHAKAVU CHA HUATAN

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *