Maktaba ya Kila Siku: July 11, 2019

JAFO AONGEZA SIKU 30 UKAMILISHAJI WA HOSPITAL ZA WILAYA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo ametoa siku 30 kwa Halmashauri zote zinazoendelea na ujenzi wa Hospitali za Wilaya kukamilisha kazi zote za Ujenzi ifikapo Julai 30,2019. Jafo ameyasema hayo wakati alipotembelea Hospital ya Wilaya ya Singida inayojengwa katika eneo la …

Soma zaidi »

PROF.KABUDI ASHIRIKI MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA

Tanzania imeshiriki mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Madola ambao umelenga kujadili utekelezaji wa maazimio na vipaumbele vya nchi wanachama wa Jumuiya hiyo ikiwemo masuala ya utawala bora,usalama,biashara pamoja na namna kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na utunzaji wa mazingira. Akichangia katika majadiliano juu ya …

Soma zaidi »

MKANDARASI ANAYESAMBAZA UMEME KIBONDO ATAKIWA KUONGEZA KASI

Naibu Waziri wa Nishati,Subira Mgalu,amesema haridhishwi na kasi ya usambazaji wa umeme vijijini inayofanywa na  mkandarasi wa Kampuni ya  Urban and Rural Engineering Services, wilayani Kibondo mkoani Kigoma. Mgalu ametoa kauli hiyo,kwenye mkutano na wananchi  wakati  alipofanya  ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini wilayani humo  na kuwasha …

Soma zaidi »