Wakazi wa Nguruka, wilayani Uvinza, mkoani Kigoma waanza kufurahia huduma ya majisafi na salama mkoani Kigoma.

WAKAZI WA NGURUKA MKOANI KIGOMA WAANZA KUFURAHIA HUDUMA YA MAJISAFI NA SALAMA

MJ 3-01
Naibu Waziri Juma Aweso akikagua miradi ya maji ya Manispaa ya Kigoma na Nguruka yatoa huduma kwa wananchi mkoani Kigoma.
MJ 4-01
Naibu wa Waziri Juma Aweso akizungumza kwenye eneo la mradi wa maji ya Manispaa ya Kigoma na Nguruka yatoa huduma kwa wananchi mkoani Kigoma.
MJ 7-01
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa (Mb) akamilisha ziara yake Mkoani Shinyanga. amekagua na kutoa maelekezo katika miradi ya Segese na mradi wa pamoja kati ya Wizara ya maji, Acacia na Halmashauri za Msalala, Nyang’hwale na Shinyanga Vijijini
MJ 6-01
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa (Mb) akamilisha ziara yake Mkoani Shinyanga, amezungumza na wananchi, kukagua na kutoa maelekezo katika miradi ya Segese na mradi wa pamoja kati ya Wizara ya maji, Acacia na Halmashauri za Msalala, Nyang’hwale na Shinyanga Vijijini
MJ 8-01
Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa (Mb) akamilisha ziara yake Mkoani Shinyanga. amekagua na kutoa maelekezo katika miradi ya Segese na mradi wa pamoja kati ya Wizara ya maji, Acacia na Halmashauri za Msalala, Nyang’hwale na Shinyanga Vijijini
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KALEMANI AFUNGUA KIWANDA CHA NGUZO ZA UMEME – KIGOMA

Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, amefungua kiwanda cha Nguzo cha Qwihaya, kilichopo katika Mtaa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *