Maktaba ya Kila Siku: July 23, 2019

UJENZI WA MAHANDAKI RELI YA KISASA – SGR WAANZA RASMI MKOANI MOROGORO

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mheshimiwa Mhandisi Atashasta Nditiye azindua rasmi uchorongaji Milima kwa ajili ya ujenzi wa mahandaki ‘tunnels’ yatakayopitisha reli ya Kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Makutupora katika eneo la Kilosa mkoani Morogoro  hivi karibuni . Jumla ya Mahandaki 4 yenye jumla ya urefu wa …

Soma zaidi »