UJENZI WA BARABARA YA MPANDA-IFUKUTWA-VIKONGE KWA KIWANGO CHA LAMI

BR 2-01
Ujenzi wa barabara ya Mpanda-Ifukutwa-Vikonge yenye urefu wa KM 35 kwa kiwango cha lami,mkoani Katavi ukiendelea. Mradi huu unagharimiwa kwa %100 kwa fedha za ndani zaidi ya shilingi bil. 57. Mradi wa barabara ya Mpanda-Vikonge ni sehemu ya barabara kuu ya ukanda wa magharibi yenye urefu wa (km 1042) ambapo Sera ya Serikali ya Awamu ya 5 ni kuhakikisha inaunganisha mikoa yote nchini kwa barabara za lami pamoja na nchi jirani.
BR 3-01
Ujenzi wa barabara ya Mpanda-Ifukutwa-Vikonge yenye urefu wa KM 35 kwa kiwango cha lami,mkoani Katavi ukiendelea. Mradi huu unagharimiwa kwa % 100 kwa fedha za ndani zaidi ya shilingi bil. 57. Mradi wa barabara ya Mpanda-Vikonge ni sehemu ya barabara kuu ya ukanda wa magharibi yenye urefu wa (km 1042) ambapo Sera ya Serikali ya Awamu ya 5 ni kuhakikisha inaunganisha mikoa yote nchini kwa barabara za lami pamoja na nchi jirani.
BR 4-01
Ujenzi wa barabara ya Mpanda-Ifukutwa-Vikonge yenye urefu wa KM 35 kwa kiwango cha lami,mkoani Katavi ukiendelea. Mradi huu unagharimiwa kwa % 100 kwa fedha za ndani zaidi ya shilingi bil. 57. Mradi wa barabara ya Mpanda-Vikonge ni sehemu ya barabara kuu ya ukanda wa magharibi yenye urefu wa (km 1042) ambapo Sera ya Serikali ya Awamu ya 5 ni kuhakikisha inaunganisha mikoa yote nchini kwa barabara za lami pamoja na nchi jirani.
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI INATARAJIA KUJENGA MINARA 5 YA MAWASILIANO WILAYANI MAFIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mh. Injinia Atashasta Nditiye (Mb.) amezindua mnara wa Mawasiliano …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *