MAKAMU WA RAIS

MAKAMU WA RAIS AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA SHIMUTA NA MASHIRIKA YA UMMA

SM 1-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa SHIMMUTA Khamis Mkanachi alipowasili Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa ajili ya kuzungumza na Viongozi, Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi juu ya maandalizi ya SHIMMUTA mwaka 2019.
SM 3-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi, Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Juu ya maandalizi ya SHIMMUTA mwaka 2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo Julai 26,2019. wa pili kulia ni Mwenyekiti wa SHIMMUTA Khamis Mkanachi.
SM 4-01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi, Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi baada ya kuzungumza na Viongozi hao kuhusu maandalizi ya SHIMMUTA mwaka 2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo.(Pich na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Ad

Unaweza kuangalia pia

TANZANIA YATAKA AMANI KUPUNGUZA MZIGO WA WAKIMBIZI AFRIKA

Tanzania imetaka Umoja wa Afrika na Jumuiya za Kimataifa kuongeza jitihada na nguvu katika kuleta …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *