RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA KIWANDA CHA PIPE INDUSTRIES ENEO LA VINGUNGUTI JIJINI DAR ES SALAAM

MC 1-01
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza maelezo ya kazi za uzalishaji za Pipe Industries Co. Limited akiwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa pamoja na Wakurugenzi Wakuu wa kiwanda hicho Bw,. Seif A. Seif na Nassor A. Seif pamoja na viongozi na wadau wengine pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na mabomba ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam Septemba 16. 2019
MC 3-01
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Wakurugenzi Wakuu wa Pipe Industries Co. Limited Bw,. Seif a, Seif na Nassor A. Seif baada ya kufunua pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa kiwanda chao cha kutengeneza mipira na mabomba ya plastiki eneo la Vingunguti jijini Dar es salaam  Septemba 16. 2019
Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS MAGUFULI ATEMBELEA DAR ES SALAAM ZOO, AVUTIWA NA WANYAMA WENGI WANAOFUGWA HUMO

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *