ALPHONCE SIMBU ASHINDA MEDALI YA FEDHA KATIKA MBIO ZA KM 42, MBIO NDEFU YA MAJESHI YA DUNIA

s1-01
Mwanariadha Private Alphonce Simbu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi-JWTZ amejinyakulia Medali ya Fedha(Silver)baada ya kukimbia KM 42 kwa muda wa saa 2:11:16 na kuwashinda wengine zaidi ya 90 katika mashindano ya mbio ndefu ya Majeshi ya Dunia yaliyofanyika  jijini Wuhan China
s2-01
Mwanariadha Private Alphonce Simbu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi-JWTZ amejinyakulia Medali ya Fedha(Silver)baada ya kukimbia KM 42 kwa muda wa saa 2:11:16 na kuwashinda wengine zaidi ya 90 katika mashindano ya mbio ndefu ya Majeshi ya Dunia yaliyofanyika jijini  Wuhan China
Ad

Unaweza kuangalia pia

KATIBU MKUU DKT. ABBASI ASISITIZA MAGEUZI YA KIUTENDAJI KWA MENEJIMENTI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt.Hassan Abbasi amewataka viongozi wa menejimenti wa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *