MAAMBUKIZI YA VVU YAMEPUNGUA KWA WATU WAZIMA KWA ASILIMIA 20.6 NA ASILIMIA 31.3 KWA WATOTO WALIO CHINI YA MIAKA 15 – DKT CHAULA

2-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
  • Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula leo amefungua Mkutano wa Makatibu Wakuu wa afya wa  nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambapo amesema mkutano huo utapitia  ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC.
  • Akizungumza Dkt Chaula amesema kuwa Tanzania imepiga hatua katika kukabiliana na Kifua Kikuu ambapo Vifo vitokanavyo na ugonjwa huo vimepungua kutoka 9.6% mwaka 2015 mpaka kufikia 4.6% mwaka 2018.
3-01
Dr. Willy Amisi akimwakilisha Katibu wa SADC Dr Stergomena Lawrence Tax akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchini wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
4-01
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula akiwa katika picha ya pamoja na kamati ya maandalizi ya Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
  • Aidha amesema kwa upande wa Malaria Tanzania imeongeza kiwango cha upimaji kutoka 64% mwaka 2015 mpaka 99% mwaka 2018, maambukizi yamepungua kwa 67% kutoka watu 164 kwa kila watu 1000 hadi watu 119 kati ya 1000 na vifo vimepungua kwa 63% kutoka 6737 hadi 2540”. Dkt. Chaula
  • “Kwa upande wa maambukizi ya VVU, Tanzania imepunguza maambukizi kwa watu wazima kwa asilimia 20.6 na asilimia 31.3 kwa watoto walio chini ya miaka 15 katika kipindi cha mwaka 2010 na 2018”. Dkt. Chaula.
5-01
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula leo akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC jijini Dar es salaam
6-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
  • Dkt. Chaula amesema Serikali ya inaedelea kupambana na tatizo la udumavu kwa watoto wadogo kwa kutoa huduma katika maeneo yaliyoathirika, mpaka kufikia mwaka 2018 tatizo hilo limepungua kutoka 34.4% mwaka 2015 hadi kufikia 31.8% mwaka 2018
  • Mkutano wa Mawaziri wa  SADC wa sekta ya Afya na Ukimwi unafanyika jijini Dar es salaam na utamalizika Novemba 8, 2019
7-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
8-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
9-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
10-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
11-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kupitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
12-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
13-01
Wajumbe wakifatilia ufunguzi wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa AFYA nchin wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utapitia ajenda kuu 13 za mkutano zitakazojadiliwa kwenye mkutano wa Mawaziri wa Afya wa nchi za SADC unaofanyika katika ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam
Ad

Unaweza kuangalia pia

ONGEZENI KASI YA KUWAHUDUMIA WANANCHI – DKT. CHAULA

Watumishi wa afya nchini wametakiwa kuongeza kasi ya kuwahudumia wananchi kwenye vituo vya kutolea huduma …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *