Maktaba ya Kila Siku: November 19, 2019

WARSHA JUU YA MAJADILIANO YA PAMOJA YA SHERIA MOJA YA UDHIBITI KATIKA UCHIMBAJI WA MADINI YA URANI

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Ulaya (EU)  inaendesha warsha ya kuboresha shughuli za kisheria na uhakiki ili kuboresha  uwezo uliopo katika kudhibiti madini ya urani. Warsha hii ya siku tatu ambayo imeanza tarehe 19 hadi  tarehe 21, …

Soma zaidi »

MUHIMBILI IMEPIGA HATUA KUBWA UTOAJI WA HUDUMA ZA KISASA KWA GHARAMA NAFUU

Serikali imeendelea kutekeleza ahadi zake kwa wananchi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya Afya ambayo imepewa kipaumbele ili kuwawezesha wananchi kupata huduma zilizobora kama vile upatikanaji wa dawa, vipimo ambavyo vilikuwa vinapatikana nje ya nchi. Katika miaka Minne ya Serikali ya Awamu ya Tano, Hospitali ya Taifa Muhimbili imepiga hatu …

Soma zaidi »

DOKTA MPANGO AIOMBA AfDB KUJENGA BARABARA NJIA NNE MOROGORO HADI DODOMA

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango ameiomba Benki ya Maendeleo ya Afrika kuipatia Tanzania mkopo nafuu kwa ajii ya kujenga barabara ya njia Nne kuanzia Morogoro hadi Dodoma ili kuboresha usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo Dkt. Mpango ametoa ombi hili Jijini Dodoma alipokutana na kufanya mazungumzo …

Soma zaidi »

DKT KALEMANI ATAKA TANESCO IFANYE KAZI KAMA KAMPUNI ZA SIMU

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewaagiza mameneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuwafuata wamiliki wa viwanda, migodi ya madini na hoteli kuwashawishi watumie umeme ili kuzalisha kwa tija hali itakayolipatia shirika hilo mapato zaidi kutokana na malipo ya umeme. Akizungumza na Kamati ya Ulinzi na Usalama ofisini kwa …

Soma zaidi »