DOKTA MPANGO AIOMBA AfDB KUJENGA BARABARA NJIA NNE MOROGORO HADI DODOMA

  • Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango ameiomba Benki ya Maendeleo ya Afrika kuipatia Tanzania mkopo nafuu kwa ajii ya kujenga barabara ya njia Nne kuanzia Morogoro hadi Dodoma ili kuboresha usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo
  • Dkt. Mpango ametoa ombi hili Jijini Dodoma alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki hiyo anayewakilisha nchi nane za ukanda wa Afrika Mashariki Bw. Amos Cheptoo.
f1-01
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia) akimuomba Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Cheptoo Amos Kipronoh (hayupo pichani) kuweka katika vipaumbele vya Benki hiyo kwa Tanzania kuhusu ujenzi wa Barabara ya Morogoro Dodoma yenye upana wa njia nne, kulia ni Kamishna Msaidizi wa Bajeti Bw. Emmanuel Tutuba.
  • “Barabara hii ilijengwa muda mrefu miaka ya 80, malori mengi yanapita hapa kwenda Mwanza, Kigoma na nje ya nchi ikiwemo Burundi, Rwanda, na unaona kabisa imeelemewa na imeanza kuharibika” Alisema Dkt. Mpango
  • Alisema amemwomba Mkurugenzi Mtendaji huyo wa AfDB waanze kuliweka jambo hili kwenye miradi itakayogharimiwa na Benki hiyo baadae ili barabara hiyo itakayo kuwa na uwezo wa kuelekeza magari mawili kwenda upande mmoja na mengine mawili kupita upande mwingine iweze kujengwa.
  • “Baada ya Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi, tunahitaji usafirishaji kwa njia ya barabara uwe na tija zaidi, uende haraka zaidi lakini pia kupunguza ajali. Hivi sasa kuna ajali nyingi sana kwa sababu magari yanayokwenda Dar es Salaam na yanayokuja Dodoma au kwenda Mwanza yanapishana kwenye haka kanjia kamoja” alisisitiza Dkt. Mpango
f3-01
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa nne kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Amos Cheptoo, (wa nne kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na maafisa waandamizi wa Wizara hiyo na Benki ya AfDB , Jijini Dodoma.
  • Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji huyo wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Maendeleo ya Afrika Bw. Amos Cheptoo aliyeko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, alisema Benki yake itahakikisha Tanzania inapata mikopo ya miradi yake ya kimkakati na ya kipaumbele ukiwemo huo wa barabara ya Morogoro hadi Dodoma.
  • Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Cheptoo Amos Kipronoh, ameitaka Sekta Binafsi nchini Tanzania kuchangamkia fursa za mikopo nafuu zilizopo katika Benki hiyo.
  • Bw. Kipronoh alisema kuwa Sekta Binafsi nchini Tanzania ina nafasi nzuri ya kupata mikopo na utaalam utakaoiwezesha kujikwamua kiuchumi kwa lengo la kutokomeza umasikini katika Bara la Afrika.
f4-01
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Amos Cheptoo, wakiwa katika Mkutano Jijini Dodoma.
  • “Sekta Binafsi hapa Tanzania haijatumia vizuri dirisha la mikopo ya Sekta hiyo ikilinganishwa nan chi nyingine za ukanda huu wa Afrika na ninakuomba Mhe. Waziri wa Fedha na Mipango uihamasishe Sekta Binafsi ikope fedha hizo ili kukuza mitaji yao na kuongeza tija” alisema Bw. Cheptoo
  • Aidha, alisema kuwa Benki ya AfDB ipo katika hatua za mwisho za kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato Dodoma na tayari benki hiyo imetoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara za mzunguko mjini Dodoma pamoja na miradi mipya ya kuzalisha Nishati ya umeme ambayo iko mbioni kuwasilishwa katika vikao vya Bodi ya Benki hiyo hivi karibuni.
  • Mkurugenzi huyo amempongeza Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli, kwa kuwa kiongozi mwenye maono ambaye amesaidia katika mabadiliko makubwa ya  uchumi na kuzitaka nchi nyingine barani Afrika kujifunza kutoka Tanzania.
f2-01
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika- AfDB, Bw. Cheptoo Amos Kipronoh, akieleza nia ya Benki yake ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo ukiwemo ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato Jijini Dodoma, wakati wa Mkutano na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani), Jijini Dodoma. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Fedha na Mipango)
  • “Nilipotua nimeona jengo la abiria la III katika Uwanja wa Ndege  wa Kimataifa wa Julius Nyerere, daraja la juu la Mfugale na ujenzi wa Reli ya Kisasa unaoendelea kwa kasi, miundombinu ambayo miaka miwili iliyopita sikuikuta nilipotembelea hapa nchini” alisema Bw. Cheptoo.
  • Aidha, amempongeza Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango kwa kusimamia na kuhakikisha uchumi unaendelea kuwa imara ikiwa ni moja ya lengo la Benki hiyo katika jitihada za kuifanya Afrika kuwa na uchumi imara.
  • Kwa upande Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, amewataka watanzania kujivunia hatua za maendeleo zinazoonekana kwa kuwa hata wageni wanaona mabadiliko makubwa ya kiuchumi nchini.
  • Ameishukuru Benki ya AfDB kwa kukubali kufadhili miradi ya barabara za mzunguko Jijini Dodoma na pia miradi mbalimbali ya kilimo ambayo inaajiri watu wengi, huku akibainisha kuwa kwa kipindi cha miaka minne miradi mbalimbali imetekelezwa kwa msaada wa AfDB na kuifanya Tanzania kukua kwa kasi kiuchumi.
  • Dkt. Mpango amewataka watendaji wa Wizara yake kuhakikisha wanawakutanisha viongozi wa Sekta Binafsi na Watendaji hao wa AfDB kabla ya kumaliza ziara yao nchini, ili kufanya mazungumzo yatakayosaidia kutumia fursa zilizopo katika Benki hiyo.
  • Aidha, Dkt. Mpango amewataka watanzania wenye vigezo kuchangamkia nafasi mbalimbali za kazi zinazotangazwa katika Benki hiyo ili kuongeza uwakilishi wa wananchi hasa kutoka Afrika Mashariki, ikizingatiwa nafasi zinazotangazwa ni za ushindani.
  • Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB imefadhili miradi 23 hapa nchini ikiwemo miradi 21 ya umma na miwili ya Sekta Binafsi, katika Nyanja za Nishati, miundombinu ya barabara, usafiri, kilimo, maji na usafi wa mazingira, yote kwa pamoja ikiwa na thamani ya dola za Marekani bilioni 2 nuta 1.Na Benny Mwaipaja, Dodoma
Ad

Unaweza kuangalia pia

NCHI ZA SADC ZATAKIWA KUTATHMINI UCHUMI WAKE BILA KUTEGEMEA MASHIRIKA YA KIMATAIFA PEKEE

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amesema kuwa nchi za Afrika hasa zilizopo …

144 Maoni

  1. Ronaldo de Asis Moreira https://ronaldinhogaucho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, played as an attacking midfielder and striker. World Champion (2002). Winner of the Golden Ball (2005). The best football player in the world according to FIFA in 2004 and 2005.

  2. Xavi or Xavi Quentin Sy Simons https://xavi-simons.prostoprosport-fr.com Dutch footballer, midfielder of the Paris Saint-Germain club -Germain” and the Dutch national team, playing on loan for the German club RB Leipzig.

  3. Jamal Musiala https://jamal-musiala.prostoprosport-fr.com footballeur allemand, milieu offensif du club allemand du Bayern et du equipe nationale d’Allemagne. Il a joue pour les equipes anglaises des moins de 15 ans, des moins de 16 ans et des moins de 17 ans. En octobre 2018, il a dispute deux matchs avec l’equipe nationale d’Allemagne U16. En novembre 2020, il a fait ses debuts avec l’equipe d’Angleterre U21.

  4. Kylian Mbappe Lotten https://kylianmbappe.prostoprosport-br.com Futebolista frances, atacante do Paris Saint-Germain e capitao da selecao francesa equipe . Em 1? de julho de 2024, ele se tornara jogador do clube espanhol Real Madrid.

  5. Philippe Coutinho Correia https://philippecoutinho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, midfielder of the English club Aston Villa, playing on loan for the Qatari club Al-Duhail. He is known for his vision, passing, dribbling and long-range ability.

  6. Kaka https://kaka.prostoprosport-br.com Futebolista brasileiro, meio-campista. O apelido “Kaka” e um diminutivo de Ricardo. Formado em Sao Paulo. De 2002 a 2016, integrou a Selecao Brasileira, pela qual disputou 92 partidas e marcou 29 gols. Campeao mundial 2002.

  7. Zlatan Ibrahimovic https://zlatan-ibrahimovic.prostoprosport-br.com Bosnian pronunciation: ibraxi?mo?it?]; genus. 3 October 1981, Malmo, Sweden) is a Swedish footballer who played as a striker. Former captain of the Swedish national team.

  8. Gareth Frank Bale https://garethbale.prostoprosport-br.com Jogador de futebol gales que atuou como ala. Ele jogou na selecao galesa. Ele se destacou pela alta velocidade e um golpe bem colocado. Artilheiro (41 gols) e recordista de partidas disputadas (111) na historia da selecao.

  9. Jude Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-br.com Futebolista ingles, meio-campista do clube espanhol Real Madrid e do Selecao da Inglaterra. Em abril de 2024, ele ganhou o premio Breakthrough of the Year do Laureus World Sports Awards. Ele se tornou o primeiro jogador de futebol a recebe-lo.

  10. Robert Lewandowski https://robert-lewandowski.prostoprosport-br.com e um futebolista polones, atacante do clube espanhol Barcelona e capitao da selecao polonesa. Considerado um dos melhores atacantes do mundo. Cavaleiro da Cruz do Comandante da Ordem do Renascimento da Polonia.

  11. Kevin De Bruyne https://kevin-de-bruyne.prostoprosport-br.com Futebolista belga, meio-campista do Manchester club City” e a selecao belga. Formado pelos clubes de futebol “Ghent” e “Genk”. Em 2008 iniciou sua carreira adulta, fazendo sua estreia no Genk.

  12. Antoine Griezmann https://antoine-griezmann.prostoprosport-br.com Futebolista frances, atacante e meio-campista do Atletico de Madrid. Jogador e vice-capitao da selecao francesa, integrante da selecao – campea mundial 2018. Medalhista de prata no Europeu de 2016 e no Mundial de 2022.

  13. Virgil van Dijk https://virgilvandijk.prostoprosport-br.com Futebolista holandes, zagueiro central, capitao do clube ingles Liverpool e capitao do a selecao holandesa.

  14. Victor James Osimhen https://victor-osimhen.prostoprosport-br.com e um futebolista nigeriano que atua como atacante. O clube italiano Napoli e a selecao nigeriana.

  15. Roberto Carlos da Silva Rocha https://roberto-carlos.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, left back. He was also capable of playing as both a central defender and a defensive midfielder. World champion 2002, silver medalist at the 1998 World Championships.

  16. Neymar da Silva Santos Junior https://neymar.prostoprosport-br.com e um futebolista brasileiro que atua como atacante, ponta e atacante. meio-campista do clube saudita Al-Hilal e da selecao brasileira. Considerado um dos melhores jogadores do mundo. O maior artilheiro da historia da Selecao Brasileira.

  17. Профессиональные seo https://seo-optimizaciya-kazan.ru услуги для максимизации онлайн-видимости вашего бизнеса. Наши эксперты проведут глубокий анализ сайта, оптимизируют контент и структуру, улучшат технические аспекты и разработают индивидуальные стратегии продвижения.

  18. Thomas Mueller https://thomasmueller.prostoprosport-br.com is a German football player who plays for the German Bayern Munich. Can play in different positions – striker, attacking midfielder. The most titled German footballer in history

  19. Erling Breut Haaland https://erling-haaland.prostoprosport-cz.org je norsky fotbalista, ktery hraje jako utocnik za Anglicky klub Manchester City a norska reprezentace. Rekordman anglicke Premier League v poctu golu za sezonu.

  20. Edson Arantes do Nascimento https://pele.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, forward (attacking midfielder. Played for Santos clubs) and New York Cosmos. Played 92 matches and scored 77 goals for the Brazilian national team.

  21. Mohamed Salah https://mohamed-salah.prostoprosport-cz.org je egyptsky fotbalista, ktery hraje jako utocnik za anglictinu. klub Liverpool a egyptsky narodni tym. Povazovan za jednoho z nejlepsich fotbalistu na svete.

  22. Kevin De Bruyne https://kevin-de-bruyne.prostoprosport-cz.org Belgicky fotbalista, zaloznik Manchesteru klub City” a belgicky narodni tym. Absolvent fotbalovych klubu „Ghent” a „Genk”. V roce 2008 zahajil svou karieru dospelych, debutoval v Genku.

  23. Lionel Messi https://lionel-messi.prostoprosport-cz.org je argentinsky fotbalista, utocnik a kapitan klubu MLS Inter Miami. , kapitan argentinske reprezentace. Mistr sveta, vitez Jizni Ameriky, vitez finale, olympijsky vitez. Povazovan za jednoho z nejlepsich fotbalistu vsech dob.

  24. Robert Lewandowski https://robert-lewandowski.prostoprosport-cz.org je polsky fotbalista, utocnik spanelskeho klubu Barcelona a kapitan polskeho narodniho tymu. Povazovan za jednoho z nejlepsich utocniku na svete. Rytir krize velitele polskeho renesancniho radu.

  25. Pablo Martin Paez Gavira https://gavi.prostoprosport-cz.org Spanelsky fotbalista, zaloznik barcelonskeho klubu a spanelske reprezentace. Povazovan za jednoho z nejtalentovanejsich hracu sve generace. Ucastnik mistrovstvi sveta 2022. Vitez Ligy narodu UEFA 2022/23

  26. Cristiano Ronaldo https://cristiano-ronaldo.prostoprosport-cz.org je portugalsky fotbalista, utocnik, kapitan Saudske Arabie klubu An-Nasr a portugalskeho narodniho tymu. Mistr Evropy. Povazovan za jednoho z nejlepsich fotbalistu vsech dob. Nejlepsi strelec v historii fotbalu podle IFFIS a ctvrty podle RSSSF

  27. Alison Ramses Becker https://alisson-becker.prostoprosport-cz.org Brazilsky fotbalista nemeckeho puvodu, brankar klubu Liverpool a brazilsky narodni tym. Je povazovan za jednoho z nejlepsich brankaru sve generace a je znamy svymi vynikajicimi zakroky, presnosti prihravek a schopnosti jeden na jednoho.

  28. Rodrigo Silva de Goiz https://rodrygo.prostoprosport-cz.org Brazilsky fotbalista, utocnik Realu Madrid a brazilskeho narodniho tymu. V breznu 2017 byl Rodrigo povolan do narodniho tymu Brazilie U17 na zapasy Montague Tournament.

  29. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thibaut-courtois.prostoprosport-cz.org Belgicky fotbalista, brankar spanelskeho klubu Real Madrid . V sezone 2010/11 byl uznan jako nejlepsi brankar v belgicke Pro League a take hrac roku pro Genk. Trojnasobny vitez Ricardo Zamora Trophy

  30. Toni Kroos https://toni-kroos.prostoprosport-cz.org je nemecky fotbalista, ktery hraje jako stredni zaloznik za Real Madrid a nemecky narodni tym. Mistr sveta 2014. Prvni nemecky hrac v historii, ktery sestkrat vyhral Ligu mistru UEFA.

  31. Darwin Gabriel Nunez Ribeiro https://darwin-nunez.prostoprosport-cz.org Uruguaysky fotbalista, utocnik anglickeho klubu Liverpool a Uruguaysky narodni tym. Bronzovy medailista mistrovstvi Jizni Ameriky mezi mladeznickymi tymy.

  32. отчаянные домохозяйки сериал 2012 https://domohozyayki-serial.ru

  33. https://businka74.ru официальный сайт Rio Bet Casino

  34. драгон мани казино https://trucktir.ru

  35. Качественная и недорогая мебель сайт каталог цены лучшие цены, доставка и сборка.

  36. Pin Up casino https://pin-up.salexy.kz official website, Pin Up slot machines play for money online, Pin Up mirror working for today.

  37. World of Games https://onlayn-oyunlar.com.az provides the latest news about online games, game reviews, gameplay and ideas, game tactics and tips. The most popular and spectacular

  38. NHL (National Hockey League) News https://nhl.com.az the latest and greatest NHL news for today. Sports news – latest NHL news, standings, match results, online broadcasts.

  39. The latest top football news https://futbol.com.az today. Interviews with football players, online broadcasts and match results, analytics and football forecasts, photos and videos.

  40. The most popular sports site https://sports.com.az of Azerbaijan, where the latest sports news, forecasts and analysis are collected.

  41. Хотите сделать в квартире ремонт? Тогда советуем вам посетить сайт https://stroyka-gid.ru, где вы найдете всю необходимую информацию по строительству и ремонту.

  42. 1xbet https://1xbet.best-casino-ar.com with withdrawal without commission. Register online in a few clicks. A large selection of slot machines in mobile applications and convenient transfers in just a few minutes.

  43. Khvicha Kvaratskhelia https://khvicha-kvaratskhelia.real-madrid-ar.com midfielder of the Georgian national football team and the Italian club “Napoli”. Became champion of Italy and best player in Serie A in the 2022/23 season. Kvaratskhelia is a graduate of Dynamo Tbilisi and played for the Rustavi team.

  44. Реальные анкеты https://prostitutki-vyzvat-moskva.ru Москвы с проверенными фото – от элитных путан до дешевых шлюх. Каталог всех индивидуалок на каждой станции метро с реальными фотографиями без ретуши и с отзывами реальных клиентов.

  45. Al-Nasr https://al-nasr.com.az your source of news and information about Al-Nasr Football Club . Find out the latest results, transfer news, player and manager interviews, fixtures and much more.

  46. Check out Minecraft kz https://minecraft-kz.kz for the latest news, guides, and in-depth reviews of the game options available. Find the latest information on Minecraft Download, Pocket Edition and Bedrock Edition.

  47. French prodigy Kylian Mbappe https://realmadrid.kylian-mbappe-cz.com is taking football by storm, joining his main target, ” Real.” New titles and records are expected.

  48. Полезные советы и пошаговые инструкции по строительству https://svoyugol.by, ремонту и дизайну домов и квартир, выбору материалов, монтажу и установке своими руками.

  49. DOKTA MPANGO AIOMBA AfDB KUJENGA BARABARA NJIA NNE MOROGORO HADI DODOMA – Matokeo ChanyA
    ngigolfwmj http://www.g395hy20919q5ba56zhc0xjl9g5c4b2ms.org/
    [url=http://www.g395hy20919q5ba56zhc0xjl9g5c4b2ms.org/]ungigolfwmj[/url]
    angigolfwmj

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *