- Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ashiriki hafla ya Kukabidhi nyumba za Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza Ukonga Jijini Dar es salaam.
- Novemba 29, 2016 Rais Maguli aliagiza kutolewa kwa shilingi Bilioni 10 kwa ajili ya kutatua tatizo la makazi la Gereza hilo baada ya askari hao kuomba wasaidiwe
Tags JIJI LA DAR ES SALAAM John Pombe Joseph Magufuli KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU MAGEREZA MKOA WA DAR ES SALAAM Rais Rais Live Ziara za Rais Magufuli
Unaweza kuangalia pia
RAIS MAGUFULI AIPONGEZA MAHAKAMA NA WADAU KWA MAFANIKIO MAKUBWA
Rais Dkt. John Magufuli ameipongeza Mahakama na wadau wake kwa hatua kubwa za kimaendeleo zilizopigwa …