Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Hassan Abbasi (kushoto) akipokea nyaraka mbalimbali zinahusu ofisi ya Katibu Mkuu kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dkt.Ally Possi ikiwa ni sehemu ya makabidhiano ya ofisi mara baada ya kikao na viongozi wa menejimenti aliporipoti Jijini Dodoma.

KATIBU MKUU DKT. ABBASI ASISITIZA MAGEUZI YA KIUTENDAJI KWA MENEJIMENTI

  • Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt.Hassan Abbasi amewataka viongozi wa menejimenti wa Wizara hiyo kufanya mageuzi kwa kuwa sekta za wizara  hiyo zimebeba ushawishi mkubwa kwa nchi  na dunia.
  • Dkt.Abbasi ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma baada kuwasili katika ofisi ya wizara hiyo iliyopo Mji wa Serikali Mtumba na kufanya mazungumzo na viongozi wa Menejimenti kwa lengo la kupata taarifa fupi ya kisekta na makabidhiano ya ofisi.
4-01
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Ally Possi (kulia) akitoa taarifa fupi kuhusu Idara za Kisekta na Vitengo kwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dkt.Hassan Abbasi wakati wa kikao cha utambulisho wake kwa viongozi wa menejimenti  Jijini Dodoma, mara baada ya kuapishwa jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.John Pombe Magufuli.
  • “Wizara hii imebeba sekta muhimu sana katika nchi ambazo ni soft power na smart power mfano sekta ya Sanaa na Michezo ni burudani na sekta hizi zikisimamiwa vizuri taifa hili litazidi kuwa la amani  na furaha pamoja na uchumi utaongezeka,tutaandaa matamasha ya kitaifa ya burudani kama JAMAFEST ambayo yatashirikisha wasanii na wachezaji sisi ni watumishi wa umma lazima tuoneshe wananchi utendaji wetu na ningependa tuache kufanya kazi kwa mazoea,”alisema Dkt.Abbasi.
  •  Akiendelea kuzungumza katika kikao hicho, Dkt. Abbasi alisema kuwa anatarajia kuona utendaji wa pamoja (team work) na utendaji wa kujituma pasipo kuchoka,pia alisisitiza anategemea kutumia vipaji na ubunifu.
3-01
Katibu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Hassan Abbasi (kushoto) akisalimiana kwa furaha na wafanyakazi wa wizara alipowasili katika ofisi ya wizara hiyo iliyopo Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma,mara baada ya kuapishwa kwake jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.John Pombe Magufuli.
  • Naye Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt. Ally Possi alipokuwa akifanya makabidhiano alimweleza Dkt. Abbasi changamoto mbalimbali za wizara ikiwemo ya uhaba wa fedha katika uendeshaji wa Uwanja wa Taifa na pamoja na Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika kuwa na changamoto katika uendeshaji, umuhimu wa  programu hiyo sababu kuwa ni ya kimataifa na faida zake utakaposimamiwa vyema na kukamilika.
  • “Nakupongeza kwa mapinduzi makubwa unayoyafanya katika Idara ya Habari hakika kazi ni nzuri haswa katika kuisemea Serikali ningeomba kwa upande wa usimamizi wa taaluma ya habari na Vitengo vya Mawasiliano Serikalini huko nako nguvu inahitajika ili kuwa na utendaji wenye usawa katika uwajibikaji wenye tija,’’alisema Dkt.Possi.
2-01
Katibu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Hassan Abbasi (kushoto) akisitiza kwa viongozi wa menejimenti (hawapo pichani)kuwa amedhamiria kufanya mageuzi ya kiutendaji alipofanya kikao na viongozi hao,baada ya kuwasili katika ofisi ya wizara iliyopo Mji wa Serikali Mtumba,Jijini Dodoma baada ya kuapishwa jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.John Pombe Magufuli,kulia ni Naibu Katibu Mkuu wizara hiyo Dkt.Ally Possi.
1-01
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Hassan Abbasi akipokea zawadi ya ua kutoka kwa mtumishi wa wizara hiyo Bi.Tukupsya Mwamasage alipowasili katika ofisi za wizara Mji wa Serikali Jijini Dodoma, mara baada ya kuapishwa jana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.John Pombe Magufuli.
  • Aidha, Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Bw.Marceline Patrick alimpongeza Katibu Mkuu huyo na kumweleza kuwa watumishi wote wamefurahia uteuzi wake na wana imani nae katika kusimamia mabadiliko ya sekta za wizara na wapo tayari kumpa ushirikiano ili kufanikisha hilo.
  • Halikadhalika  mmoja wa wafanyakazi wa wizara hiyo kutoka Idara ya Maendeleo ya Utamaduni, Bibi Hadija Kisubi alisema anamshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dkt.John Pombe Magufuli kwa kumteua Dkt.Abbasi kuwa Katibu Mkuu katika wizara hiyo sababu ni mchapakazi na anaamini kuwa atafanya mabadiliko makubwa katika wizara katika maeneo yote yenye changamoto.
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI MWAKYEMBE AWATAKA WATANZANIA KUJITOKEZA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA MICHEZO

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe ametoa wito kwa watanzania wanaoishi …

110 Maoni

  1. The latest analysis, reviews of https://spider-man-ar.com tournaments and the most interesting things from the “Spider-Man” series of games in Azerbaijani language. It’s all here!

  2. NFL https://nfl-ar.com News, analysis and topics about the latest practices, victories and records. A portal that explores the most beautiful games in the NFL world in general.

  3. Sports news https://gta-uzbek.com the most respected sports site in Uzbekistan, which contains the latest sports news, forecasts and analysis.

  4. Explore the extraordinary journey of Kylian Mbappe https://mbappe-real-madrid.com, from his humble beginnings to global stardom.

  5. Serxio Ramos Garsiya https://serxio-ramos.com ispaniyalik futbolchi, himoyachi. Ispaniya terma jamoasining sobiq futbolchisi. 16 mavsum davomida u “Real Madrid”da markaziy himoyachi sifatida o’ynadi.

  6. Legendary striker Cristiano Ronaldo https://an-nasr.cristiano-ronaldo-fr.com signed a contract with the Saudi club ” An-Nasr”, opening a new chapter in his illustrious career in the Middle East.

  7. Manchester City and Erling Haaland https://manchester-city.erling-haaland-fr.com explosive synergy in action. How a club and a footballer light up stadiums with their dynamic play.

  8. Website dedicated to football player Paul Pogba https://pogba-uz.com. Latest news from the world of football.

  9. Coffeeroom https://coffeeroom.by – магазин кофе, чая, кофетехники, посуды, химии и аксессуаров в Минске для дома и офиса.

  10. Find the latest information on Khabib Nurmagomedov https://khabib-nurmagomedov.uz news and fights. Check out articles and videos detailing Khabib UFC career, interviews, wins, and biography.

  11. Get to know the history, players and latest news of the Inter Miami football club https://inter-miami.uz. Join us to learn about the successes and great performances of America’s newest and most exciting soccer club.

  12. A site dedicated to Michael Jordan https://michael-jordan.uz, a basketball legend and symbol of world sports culture. Here you will find highlights, career, family and news about one of the greatest athletes of all time.

  13. Welcome to our official website, where you will find everything about the career of Gianluigi Buffon https://gianluigi-buffon.org. Discover the story of this legendary goalkeeper who made football history.

  14. If you are a fan of UFC https://ufc-hoje.com the most famous organization in the world, come visit us. The most important news and highlights from the UFC world await you on our website.

  15. Gavi’s success story https://barcelona.gavi-fr.com at Barcelona: from his debut at 16 to a key role in club and national team of Spain, his talent inspires the world of football.

  16. Discover the journey of Charles Leclerc https://ferrari.charles-leclerc-fr.com, from young Monegasque driver to Ferrari Formula 1 leader, from his early years to his main achievements within the team.

  17. Kim Kardashian’s https://the-kardashians.kim-kardashian-fr.com incredible success story, from sex scandal to pop culture icon and billion-dollar fortune.

  18. An exploration of Nicole Kidman’s https://watch.nicole-kidman-fr.com career, her notable roles, and her continued quest for excellence as an actress.

  19. The new Premier League https://premier-league.chelsea-fr.com season has gotten off to an intriguing start, with a new-look Chelsea looking to return to the Champions League, but serious challenges lie ahead.

  20. Tyson Fury https://wbc.tyson-fury-fr.com is the undefeated WBC world champion and reigns supreme in boxing’s heavyweight division.

  21. Преимущества аренды склада https://popivy.ru/otvetstvennoe-hranenie-mebeli-santehniki-i-bytovoj-tehniki-na-sklade-v-moskve-preimushhestva-i-vygody/, как аренда складских помещений может улучшить ваш бизнес

  22. Cristiano Ronaldo https://al-nassr.cristianoronaldo-br.net one of the greatest football players of all time, begins a new chapter in his career by joining An Nasr Club.

  23. From academy product to captain and leader of Real Madrid https://real-madrid.ikercasillas-br.com Casillas became one of the greatest players in the history of Real Madrid.

  24. Follow Bernardo Silva’s impressive career https://manchester-city.bernardosilva.net from his debut at Monaco to to his status as a key player and leader of Manchester City.

  25. регистрация рио бет казино https://dacha76.ru

  26. Хотите научиться готовить самые изысканные и сложные торты? В этом https://v1.skladchik.org/tags/tort/ разделе вы найдете множество подробных пошаговых рецептов самых трендовых и известных тортов с возможностью получить их за сущие копейки благодаря складчине. Готовьте с удовольствием и открывайте для себя новые рецепты вместе с Skladchik.org

  27. Лучшие пансионаты для пожилых людей https://ernst-neizvestniy.ru в Самаре – недорогие дома для престарелых в Самарской области

  28. The compelling story of Alisson Becker’s https://bayer-04.florianwirtz-br.com meteoric rise from young talent to key figure in Liverpool’s triumphant era under Jurgen Klopp.

  29. O meio-campista Rafael Veiga leva https://palmeiras.raphaelveiga-br.com o Palmeiras ao sucesso – o campeonato brasileiro e a vitoria na Copa Libertadores aos 24 anos.

  30. Achraf Hakimi https://paris-saint-germain.ashrafhakimi.net is a young Moroccan footballer who quickly reached the football elite European in recent years.

  31. In the world of professional tennis, the name of Gustavo Kuerten https://roland-garros.gustavokuerten.com is closely linked to one of the most prestigious Grand Slam tournaments – Roland Garros.

  32. Anderson Silva https://killer-bees-muay-thai-college.andersonsilva.net was born in 1975 in Curitiba Brazil. From a young age he showed an interest in martial arts, starting to train in karate at the age of 5.

  33. Rodrygo Silva de Goes https://real-madrid.rodrygo-br.com, known simply as Rodrygo, emerged as one of the the brightest young talents in world football.

  34. Earvin “Magic” Johnson https://los-angeles-lakers.magicjohnson.biz is one of the most legendary basketball players in history. NBA history.

  35. Toni Kroos https://real-madrid.tonikroos-ar.com the German midfielder known for his accurate passes and calmness on the field, has achieved remarkable success at one of the most prestigious football clubs in the world.

  36. The story of Leo Messi https://inter-miami.lionelmessi.ae‘s transfer to Inter Miami began long before the official announcement. Rumors about Messi’s possible departure from Barcelona appeared in 2020

  37. Yacine Bounou https://al-hilal.yassine-bounou-ar.com known simply as Bono, is one of the most prominent Moroccan footballers of our time.

  38. Erling Haaland https://manchester-city.erling-haaland-ar.com born on July 21, 2000 in Leeds, England, began his football journey at an early age.

  39. Football in Saudi Arabia https://al-hilal.ali-al-bulaihi-ar.com has long been one of the main sports, attracting millions of fans. In recent years, one of the brightest stars in Saudi football has been Ali Al-Bulaihi, defender of Al-Hilal Football Club.

  40. Karim Benzema https://al-ittihad.karimbenzema.ae is a name worthy of admiration and respect in the world of football.

  41. Cristiano Ronaldo https://al-nassr.cristiano-ronaldo.ae is one of the greatest names in football history, with his achievements inspiring millions of fans around the world.

  42. Muhammad Al Owais https://al-hilal.mohammed-alowais-ar.com is one of the most prominent names in modern Saudi football. His path to success in Al Hilal team became an example for many young athletes.

  43. Maria Sharapova https://tennis.maria-sharapova-ar.com was born on April 19, 1987 in Nyagan, Russia. When Masha was 7 years old, her family moved to Florida, where she started playing tennis.

  44. Roberto Firmino https://al-ahli.roberto-firmino-ar.com one of the most talented and famous Brazilian footballers of our time, has paved his way to success in different leagues and teams.

  45. Продажа новых автомобилей Hongqi
    https://hongqi-krasnoyarsk.ru/contacts в Красноярске у официального дилера Хончи. Весь модельный ряд, все комплектации, выгодные цены, кредит, лизинг, трейд-ин

  46. Kylie Jenner https://kylie-cosmetics.kylie-jenner-ar.com is an American model, media personality, and businesswoman, born on August 10, 1997 in Los Angeles, California.

  47. Bella Hadid https://img-models.bella-hadid-ar.com is an American model who has emerged in recent years as one of the most influential figures in the world of fashion.

  48. Brazilian footballer Malcom https://al-hilal.malcom-ar.com (full name Malcom Felipe Silva de Oliveira) achieved great success in Al Hilal, one of the leading football teams in Saudi Arabia and the entire Middle East.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *