SHIRIKA LA IFC LATAKIWA KUSHIRIKIANA NA TANZANIA KATIKA UCHAMBUZI WA MAZINGIRA YA SEKTA BINAFSI

  • Serikali ya Tanzania imeiomba Benki ya Dunia kupitia Shirika lake la Fedha (IFC), kufanya kazi ya uchambuzi wa kitaalamu wa mazingira ya Sekta Binafsi nchini kwa kushirikiana na Serikali ili kuweza kufanyia kazi kikamilifu taarifa za uchambuzi huo kwa manufaa ya Taifa.
  • Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, alipokutana na kufanya mazungumzo na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi.
A-01
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto), akieleza umuhimu wa Serikali kushiriki kikamilifu katika uchambuzi wa mazingira ya Sekta binafsi kwa manufaa ya wananchi, wakati wa Mkutano na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (kulia), jijini Dodoma.
  • Dkt. Mpango alisema kuwa msimamo wa Serikali ni kuwa kazi ya uchambuzi wa changamoto za mazingira ya Sekta Binafsi ifanyike kwa ushirikiano kati ya Serikali na IFC ili taarifa ya matokeo ya uchambuzi huo iweze kufanyiwa kazi kikamilifu badala ya taarifa hiyo kuachwa bila kufanyiwa kazi kutokana na ushirikishwaji hafifu kutoka katika taasisi hiyo.
  • “Tunataka kufanyia kazi taarifa ambayo tumeshiriki kuiandaa na tutakuwa tunatekeleza jambo letu sisi wenyewe”, alieleza Dkt. Mpango.
D-01
Wajumbe wa Mkutano kati ya Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (hawapo pichani), wakifuatilia kwa makini maelezo ya fursa zilizopo katika Shirika la IFC, katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
  • Dkt. Mpango amelitaka Shirika hilo lijielekeze katika misaada ya kitaalam na fedha ili kukuza Sekta Binafsi kwa kuendana na vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Tano hususan upande wa kilimo bila kuiacha nyuma Sekta ya viwanda kwa kuangalia namna wadau wa Sekta Binafsi wanavyoweza kupata utaalam kutoka IFC.
  • Aidha alibainisha kuwa Tanzania imewahi kufanya kazi za uchambuzi na Serikali ya Marekani mwaka 2011 wakati wa kupitia utekelezaji wa dira ya maendeleo na kuandaa mipango ya nchi, pia kuna mpango wa kuangalia mazingira ya biashara pamoja na jarida lenye hatua mbalimbali ambazo zilikubaliwa na Sekta Binafsi katika kukuza sekta hiyo na kutoa ajira kwa wananchi.
B-01
Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (kulia), akieleza fursa zilizopo katika Shirika lake ikiwemo mikopo, wakati wa mkutano na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (hayupo pichani), katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dodoma.
  • “Kazi yoyote lazima izingatie mipango ya Serikali katika kuendelea kuboresha mazingira ya kukua kwa Sekta Binafsi, kufanya biashara na kuwekeza”, aliongeza Dkt. Mpango.
  • Dkt. Mpango alisema kuwa wamejadili pia kuhusu uwezekano wa IFC kutoa hati fungani ambayo kwa sasa inalipwa kwa dola iweze kutolewa kwa Shilingi ya Tanzania.  Hata hivyo alibainisha kuwa bado jambo hilo linahitaji uchambuzi wa kitaalamu kwa kuwa hati fungani haiwezi kutolewa bila nchi kufanya tathmini huru na makampuni ya kimataifa kuhusu nguvu yake ya kuweza kukopa kwenye masoko kama hayo.
  • Alisema kuwa hadi mwishoni mwa mwezi huu majibu yatatatolewa baada ya wataalamu kuchakata na kupata majibu ya kuendelea na jambo hilo au kulisitisha.
E-01
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (wa nne kushoto), akipeana mkono na Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, anaeziwakilisha nchi za Afrika Mashariki, Somalia na Malawi (wa tatu kushoto), wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi wa wajumbe wa mkutano huo kutoka Tanzania na Shirika la IFC. (Picha na Peter Haule, WFM, Dodoma)
  • Kwa upande mwingine Serikali ya Tanzania imeiomba Benki ya Dunia kupitia Shirika hilo la IFC, kufuata Sheria za nchi inapotoa misaada ikiwemo ya Sekta Binafsi ili kujiridhisha iwapo misaada hiyo inamanufaa kwa taifa.
  • Aliyasema hayo baada ya kuwepo kwa misaada iliyotolewa kwa Sekta Binafsi na Shirika hilo ambayo haikufuata utaratibu wa utoaji misaada unaotumika nchini kwa mujibu wa sheria zilizowekwa.
  • Dkt. Mpango alisema kuwa kwa mujibu wa Sheria za nchi maombi yote ya misaada nchini ni lazima yapite kwenye kamati ya kitaalamu ya kuishauri Serikali kuhusu madeni na baadae kamati ya kitaifa ambayo itatoa ushauri kwa Waziri wa Fedha ili aweze kusema sawa, iwapo msaada huo unamanufaa kwa maendeleo ya taifa.
  • Kwa upande wake Meneja wa Shirika la Kimataifa la IFC, Bw. Manuel Moses, alikubali kufanyia kazi ushauri wa Dkt. Mpango na pia alisema kuwa wamefanya mazungumzo na Serikali ili kusaidia kuboresha zaidi mazingira ya Sekta Binafsi ili iweze kuajiri watu wengi zaidi na kulipa kodi katika juhudi za kukuza uchumi wa nchi husika.
  • Shirika la IFC lipo chini ya Benki ya Dunia kwa ajili ya kusaidia nchi zinazoendelea kama Tanzania kuendeleza Sekta Binafsi pamoja na kutoa mikopo na misaada mbalimbali ambapo kwa sasa wameelekeza mikopo mingi kwenye Sekta ya Benki ambayo hutoa mikopo kwa kampuni ndogo na kubwa hapa nchini. Na. Peter Haule na Saidina Msangi, WFM, Dodoma
Ad

Unaweza kuangalia pia

SEKTA YA AFYA NCHINI KUNUFAIKA NA MSAADA WA DOLA ZA MAREKANI MILIONI 600 KUTOKA GLOBAL FUND

Serikali ya Tanzania itanufaika na msaada wa dola za Marekani milioni 600 zitakazotolewa na Taasisi …

344 Maoni

  1. Follow Bernardo Silva’s impressive career https://manchester-city.bernardosilva.net from his debut at Monaco to to his status as a key player and leader of Manchester City.

  2. официальный сайт риобет казино рио бет казино

  3. официальный сайт драгон мани казино Dragon Money Casino

  4. Хотите научиться готовить самые изысканные и сложные торты? В этом https://v1.skladchik.org/tags/tort/ разделе вы найдете множество подробных пошаговых рецептов самых трендовых и известных тортов с возможностью получить их за сущие копейки благодаря складчине. Готовьте с удовольствием и открывайте для себя новые рецепты вместе с Skladchik.org

  5. Лучшие пансионаты для пожилых людей https://ernst-neizvestniy.ru в Самаре – недорогие дома для престарелых в Самарской области

  6. Пансионаты для пожилых людей https://moyomesto.ru в Самаре по доступным ценам. Специальные условия по уходу, индивидуальные программы.

  7. The fascinating story of Sergio Ramos’ https://seville.sergioramos.net rise from Sevilla graduate to one of Real Madrid and Spain’s greatest defenders.

  8. Ousmane Dembele’s https://paris-saint-germain.ousmanedembele-br.com rise from promising talent to key player for French football giants Paris Saint-Germain. An exciting success story.

  9. The incredible success story of 20-year-old Florian Wirtz https://bayer-04.florianwirtz-br.com, who quickly joined the Bayer team and became one of the best young talents in the world.

  10. The incredible story https://napoli.khvichakvaratskhelia-br.com of a young Georgian talent’s transformation into an Italian Serie A star. Khvicha Kvaraeshvili is a rising phenomenon in European football.

  11. The compelling story of Alisson Becker’s https://bayer-04.florianwirtz-br.com meteoric rise from young talent to key figure in Liverpool’s triumphant era under Jurgen Klopp.

  12. O meio-campista Rafael Veiga leva https://palmeiras.raphaelveiga-br.com o Palmeiras ao sucesso – o campeonato brasileiro e a vitoria na Copa Libertadores aos 24 anos.

  13. Midfielder Rafael Veiga leads https://manchester-city.philfoden-br.com Palmeiras to success – the championship Brazilian and victory in the Copa Libertadores at the age of 24.

  14. In-depth articles about the most famous football players https://zenit-saint-petersburg.wendel-br.com, clubs and events. Learn everything about tactics, rules of the game and football history.

  15. The rise of 20-year-old midfielder Jamal Musiala https://bavaria.jamalmusiala-br.com to the status of a winger in the Bayern Munich team. A story of incredible talent.

  16. A historia da jornada triunfante de Anitta https://veneno.anitta-br.com de aspirante a cantora a uma das interpretes mais influentes da musica moderna, incluindo sua participacao na serie de TV “Veneno”.

  17. Fabrizio Moretti https://the-strokes.fabriziomoretti-br.com the influential drummer of The Strokes, and his unique sound revolutionized the music scene, remaining icons of modern rock.

  18. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-br.net one of the greatest basketball players of all the times, left an indelible mark on the history of sport.

  19. Bieber’s https://baby.justinbieber-br.com path to global fame began with his breakthrough success Baby, which became his signature song and one of the most popular music videos of all time.

  20. In the world of professional tennis, the name of Gustavo Kuerten https://roland-garros.gustavokuerten.com is closely linked to one of the most prestigious Grand Slam tournaments – Roland Garros.

  21. Achraf Hakimi https://paris-saint-germain.ashrafhakimi.net is a young Moroccan footballer who quickly reached the football elite European in recent years.

  22. Ayrton Senna https://mclaren.ayrtonsenna-br.com is one of the greatest drivers in the history of Formula 1.

  23. Anderson Silva https://killer-bees-muay-thai-college.andersonsilva.net was born in 1975 in Curitiba Brazil. From a young age he showed an interest in martial arts, starting to train in karate at the age of 5.

  24. Daniel Alves https://paris-saint-germain.danielalves.net is a name that symbolizes the greatness of the world of football.

  25. Bruno Miguel Borges Fernandes https://manchester-united.brunofernandes-br.com was born on September 8, 1994 in Maia, Portugal.

  26. Rodrygo Silva de Goes https://real-madrid.rodrygo-br.com, known simply as Rodrygo, emerged as one of the the brightest young talents in world football.

  27. Nuno Mendes https://paris-saint-germain.nuno-mendes.com, a talented Portuguese left-back, He quickly became one of the key figures in the Paris Saint-Germain (PSG) team.

  28. Earvin “Magic” Johnson https://los-angeles-lakers.magicjohnson.biz is one of the most legendary basketball players in history. NBA history.

  29. Vinicius Junior https://real-madrid.vinicius-junior-ar.com the Brazilian prodigy whose full name is Vinicius Jose Baixao de Oliveira Junior, has managed to win the hearts of millions of fans around the world in a short period of time.

  30. Victor Osimhen https://napoli.victorosimhen-ar.com born on December 29, 1998 in Lagos, Nigeria, has grown from an initially humble player to one of the brightest strikers in modern football.

  31. Toni Kroos https://real-madrid.tonikroos-ar.com the German midfielder known for his accurate passes and calmness on the field, has achieved remarkable success at one of the most prestigious football clubs in the world.

  32. Robert Lewandowski https://barcelona.robertlewandowski-ar.com is one of the most prominent footballers of our time, and his move to Barcelona has become one of the most talked about topics in world football.

  33. Pedro Gonzalez Lopez https://barcelona.pedri-ar.com known as Pedri, was born on November 25, 2002 in the small town of Tegeste, located on Tenerife, one of the Canary Islands.

  34. Mohamed Salah https://liverpool.mohamedsalah-ar.com an Egyptian footballer, rose to fame through his outstanding performances at Liverpool Football Club.

  35. The story of Leo Messi https://inter-miami.lionelmessi.ae‘s transfer to Inter Miami began long before the official announcement. Rumors about Messi’s possible departure from Barcelona appeared in 2020

  36. Yacine Bounou https://al-hilal.yassine-bounou-ar.com known simply as Bono, is one of the most prominent Moroccan footballers of our time.

  37. Andreson Souza Conceicao https://al-nassr.talisca-ar.com known as Talisca, is one of the brightest stars of modern football.

  38. Harry Kane https://bayern.harry-kane-ar.com one of the most prominent English footballers of his generation, completed his move to German football club Bayern Munich in 2023.

  39. Brazilian footballer Neymar https://al-hilal.neymar-ar.com known for his unique playing style and outstanding achievements in world football, has made a surprise move to Al Hilal Football Club.

  40. Erling Haaland https://manchester-city.erling-haaland-ar.com born on July 21, 2000 in Leeds, England, began his football journey at an early age.

  41. Luka Modric https://real-madrid.lukamodric-ar.com can certainly be called one of the outstanding midfielders in modern football.

  42. Football in Saudi Arabia https://al-hilal.ali-al-bulaihi-ar.com has long been one of the main sports, attracting millions of fans. In recent years, one of the brightest stars in Saudi football has been Ali Al-Bulaihi, defender of Al-Hilal Football Club.

  43. Сайт https://ps-likers.ru предлагает уроки по фотошоп для начинающих. На страницах сайта можно найти пошаговые руководства по анимации, созданию графики для сайтов, дизайну, работе с текстом и фотографиями, а также различные эффекты.

  44. RDBox.de https://rdbox.de bietet schallgedammte Gehause fur 3D-Drucker, die eine sehr leise Druckumgebung schaffen – nicht lauter als ein Kuhlschrank. Unsere Losungen sorgen fur stabile Drucktemperatur, Vibrationsisolierung, Luftreinigung und mobile App-Steuerung.

  45. N’Golo Kante https://al-ittihad.ngolokante-ar.com the French midfielder whose career has embodied perseverance, hard work and skill, has continued his path to success at Al-Ittihad Football Club, based in Saudi Arabia.

  46. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-ar.com also known as the “Black Mamba”, is one of the most iconic and iconic figures in NBA history.

  47. Karim Benzema https://al-ittihad.karimbenzema.ae is a name worthy of admiration and respect in the world of football.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *