Maktaba ya Kila Siku: July 14, 2020

JNIA WAPATIWA MAFUNZO YA UTAYARI WA KUPOKEA WATALII

Mkurugenzi wa Udhibiti wa Uchumi kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TCAA), Bw. Danny Mallanga ( kushoto) akimweleza jambo Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi zinazotoa huduma katika uwanja …

Soma zaidi »

WANAWAKE WATAKIWA KUTOKUBALI KUTUMIWA NA WANASIASA KUVURUGA AMANI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge,Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama amewaasa wanawake kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa kama mawakala Waziri Mhagama ametoa wito huo jijini Dodoma wakati akizungumza na umoja wa wanawake viongozi wa vyama vya siasa nchini …

Soma zaidi »