Halmashauri ya Jiji la Mbeya imeagizwa kuanzisha programu maalumu ya kutoa elimu kwa wananchi juu ya utenganishaji wa taka kuanzia ngazi ya kaya ili kutofautisha aina ya taka za kurejeleza na zile za kupeleka dampo.
Agizo hilo limetolewa hii Mkoani Mbeya na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mussa Sima wakati wa ziara ya kikazi katika dampo la Nsagala lenye ukubwa wa hekta 28 na kumuagiza Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Amede Ng’wanidako kushirikiana na Baraza ka Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kufanya tathmini ya kina ya kuboresha dampo hilo.
Amesema ujenzi wa huo wa dampo la kisasa utasaidia juhudi za Serikali za kutotumia fedha nyingi kwenye ununuzi wa vifaa tiba kwa kuwa taka zitakazolishwa katika Jiji la Mbeya zitapelekwa dampo kwa wakati na kunusuru magonjwa ya mlipuko.
“Huwezi kutenganisha afya na mazingira, mradi huu ni mkubwa sana na kwa namna utakavyotekelezwa hatutaraji kuona taka mjini zinazagaa.Tunatarajia kuona taka zote zinakuja hapa zikiwa zimetenganishwa” alisema Naibu Waziri Sima.
Akiwa katika eneo hilo la dampo la Nsagala, Mhe Sima ameshuhudia wananchi wakiingia kiholela katika dampo hilo kwa ajili ya kuokota bidhaa mfano chupa za plastiki kwa ajili ya kuziuza.
“Serikali inatumia pesa nyingi katika huduma za afya ni wakati sasa tupunguze mzigo huu kwa magonjwa yanayoweza kuepukika kwa kuwa na mazingira safi na salama. Kuanzia sasa ni marufuku wananchi kuingia dampo kuokota chupa za plastiki, hii inahatarisha afya zao wenyewe, hivyo utaratibu wa kutenganisha taka uanzie katika vyanzo vya uzalishaji” Sima alisisitiza.
Na Lulu Mussa, Mbeya
Awali Mwenyekiti wa Bodi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Prof. Esnat Chaggu amesema kwa hali ilivyosasa katika dampo hilo endapo hatua za haraka hazitachukuliwa upo uwezekano wa dampo hilo kujaa mapema.
“Inabidi ufanyike utafiti wa kina zaidi kuhusu hili dampo, kwakuwa taka zote zinazozalishwa majumbani zinaletwa hapa bila kutenganishwa hivyo afya za watu ziko hatarini hususan hawa wananchi wanaokuja kuokota taka hizi hapa dampo” alisisitiza Prof. Chaggu.
Nae Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Dkt. Samwel Gwamaka amesema kuwa Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004, kifungu cha 119 kinazitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kutafuta namna bora ya kuteketeza taka ngumu katika maeneo yao na kuainisha jitahada za pamoja zinahitajika katika kutoa elimu kwa jamii kuanzia ngazi ya Kitongoji, Kijiji na Kata.
Amesema NEMC iko tayari kushirikiana na Jiji katika utoaji wa elimu katika ngazi zote na kusisitiza mpango kazi huo kutekelezwa mara moja.
Kwa upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Bw. Vanika Ndelekwa amemuhakikishia Naibu Waziri uzingatiaji wa maelekezo yote yaliyotolewa na utekelezaji wake kuanza mapema wiki ijayo. Dampo la Nsagala lina vitalu (cells) tatu za kuhifadhi taka ngumu na lina uwezo wa kuhudumia taka za Jiji kwa kipindi cha miaka 18
Naibu Waziri Mussa Sima, yuko katika ziara ya kikazi katika mikoa ya Nyanda za juu Kusini kuzipatia ufumbuzi changamoto za kimazingira, kukagua uzingatia wa sheria ya Mazingira katika maeneo ya migodi na sehemu za kuteketeza taka pia kujiridhisha endapo utaratibu wa kutenganisha taka unazingatiwa ili kuzuia wananchi kuzifuata dampo hususan bidhaa zinazo rejelezeka.
The story of Leo Messi https://inter-miami.lionelmessi.ae‘s transfer to Inter Miami began long before the official announcement. Rumors about Messi’s possible departure from Barcelona appeared in 2020
Andreson Souza Conceicao https://al-nassr.talisca-ar.com known as Talisca, is one of the brightest stars of modern football.
Mohamed Salah https://liverpool.mohamedsalah-ar.com an Egyptian footballer, rose to fame through his outstanding performances at Liverpool Football Club.
Айтек multimedijnyj-integrator.ru .
Айтек http://multimedijnyj-integrator.ru/ .
Приветствую. Может кто знает, где найти разные статьи о недвижимости? Пока нашел блог о недвижимости
Brazilian footballer Neymar https://al-hilal.neymar-ar.com known for his unique playing style and outstanding achievements in world football, has made a surprise move to Al Hilal Football Club.
Erling Haaland https://manchester-city.erling-haaland-ar.com born on July 21, 2000 in Leeds, England, began his football journey at an early age.
Luka Modric https://real-madrid.lukamodric-ar.com can certainly be called one of the outstanding midfielders in modern football.
Football in Saudi Arabia https://al-hilal.ali-al-bulaihi-ar.com has long been one of the main sports, attracting millions of fans. In recent years, one of the brightest stars in Saudi football has been Ali Al-Bulaihi, defender of Al-Hilal Football Club.
Сайт https://ps-likers.ru предлагает уроки по фотошоп для начинающих. На страницах сайта можно найти пошаговые руководства по анимации, созданию графики для сайтов, дизайну, работе с текстом и фотографиями, а также различные эффекты.
Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-ar.com also known as the “Black Mamba”, is one of the most iconic and iconic figures in NBA history.
RDBox.de https://rdbox.de bietet schallgedammte Gehause fur 3D-Drucker, die eine sehr leise Druckumgebung schaffen – nicht lauter als ein Kuhlschrank. Unsere Losungen sorgen fur stabile Drucktemperatur, Vibrationsisolierung, Luftreinigung und mobile App-Steuerung.
Karim Benzema https://al-ittihad.karimbenzema.ae is a name worthy of admiration and respect in the world of football.
Cristiano Ronaldo https://al-nassr.cristiano-ronaldo.ae is one of the greatest names in football history, with his achievements inspiring millions of fans around the world.
In 2018, the basketball world witnessed one of the most remarkable transformations in NBA history. LeBron James https://los-angeles-lakers.lebronjames-ar.com one of the greatest players of our time, decided to leave his hometown Cleveland Cavaliers and join the Los Angeles Lakers.
Luis Diaz https://liverpool.luis-diaz-ar.com is a young Colombian striker who has enjoyed rapid growth since joining the ” Liverpool” in January 2022.
Muhammad Al Owais https://al-hilal.mohammed-alowais-ar.com is one of the most prominent names in modern Saudi football. His path to success in Al Hilal team became an example for many young athletes.
видеостена под ключ http://videosteny-pod-kljuch.ru/ .
видеостены москва https://videosteny-pod-kljuch.ru/ .
Парадокс, но купить диплом кандидата наук оказалось не так и сложно
ast-diplomy24.ru/kupit-diplom-moskva
Roberto Firmino https://al-ahli.roberto-firmino-ar.com one of the most talented and famous Brazilian footballers of our time, has paved his way to success in different leagues and teams.
видеостена оборудование https://www.videosteny-pod-kljuch.ru .
Football in Saudi Arabia https://al-hilal.saud-abdulhamid-ar.com is gaining more and more popularity and recognition on the international stage, and Saud Abdul Hamid, the young and talented defender of Al Hilal, is a shining example of this success.
Казахский национальный технический университет https://satbayev.university им. К.Сатпаева
Upcoming fantasy MOBA https://bladesofthevoid.com evolved by Web3. Gacha perks, AI and crafting in one swirling solution!
Продажа новых автомобилей Hongqi
https://hongqi-krasnoyarsk.ru/owners/road-assistance в Красноярске у официального дилера Хончи. Весь модельный ряд, все комплектации, выгодные цены, кредит, лизинг, трейд-ин
Kylie Jenner https://kylie-cosmetics.kylie-jenner-ar.com is an American model, media personality, and businesswoman, born on August 10, 1997 in Los Angeles, California.
canadian pharmacy: canadian pharmacy king – legitimate canadian pharmacy
vipps approved canadian online pharmacy pharmacy com canada canadianpharmacymeds
п»їbest mexican online pharmacies: reputable mexican pharmacies online – mexican pharmacy
http://canadapharmast.com/# best rated canadian pharmacy
buying from online mexican pharmacy: buying from online mexican pharmacy – medication from mexico pharmacy
Bella Hadid https://img-models.bella-hadid-ar.com is an American model who has emerged in recent years as one of the most influential figures in the world of fashion.
Brazilian footballer Ricardo Escarson https://orlando-city.kaka-ar.com dos Santos Leite, better known as Kaka, is one of the most famous and successful players in football history.
Sadio Mane https://al-nassr.sadio-mane-ar.com the Senegalese footballer best known for his performances at clubs such as Southampton and Liverpool, has become a prominent figure in Al Nassr.
canadianpharmacymeds com: canadian pharmacy online store – vipps canadian pharmacy
best canadian online pharmacy: northwest canadian pharmacy – vipps canadian pharmacy
Edson Arantes https://santos.pele-ar.com do Nascimento, known as Pele, was born on October 23, 1940 in Tres Coracoes, Minas Gerais, Brazil.
Monica Bellucci https://dracula.monica-bellucci-ar.com one of the most famous Italian actresses of our time, has a distinguished artistic career spanning many decades. Her talent, charisma, and stunning beauty made her an icon of world cinema.
https://foruspharma.com/# mexico drug stores pharmacies
услуги озвучивания https://www.ozvuchivanie-pomeshhenij.ru .
pharmacies in mexico that ship to usa: buying prescription drugs in mexico online – medication from mexico pharmacy
Brazilian footballer Malcom https://al-hilal.malcom-ar.com (full name Malcom Felipe Silva de Oliveira) achieved great success in Al Hilal, one of the leading football teams in Saudi Arabia and the entire Middle East.
услуги озвучивания http://ozvuchivanie-pomeshhenij.ru .
indian pharmacy paypal best online pharmacy india п»їlegitimate online pharmacies india
Jackie Chan https://karate-kid.jackiechan-ar.com was born in 1954 in Hong Kong under the name Chan Kong San.
buy medicines online in india: indianpharmacy com – indian pharmacies safe
озвучивание https://www.ozvuchivanie-pomeshhenij.ru .
canada rx pharmacy: pharmacy rx world canada – vipps approved canadian online pharmacy