Maktaba ya Mwezi: September 2020

MRADI WA UMEME RUSUMO UNA MANUFAA MTAMBUKA KWA WATANZANIA – SERIKALI

Veronica Simba – Ngara Serikali imeeleza kuwa Mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Kagera, unaotekelezwa Rusumo wilayani Ngara, una manufaa mtambuka kwa Watanzania. Hayo yalielezwa jana, Septemba 28, 2020 na Timu ya Serikali kutoka Tanzania inayosimamia Mradi huo ikihusisha Wakurugenzi wa Bodi na Kamati ya …

Soma zaidi »

DKT. KALEMANI AZINDUA REA KITONGOJI KWA KITONGOJI

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wananchi Kitongoji cha Migombani,kijiji cha Bukene, Wilaya ya Nzega, Mkoani wa Tabora(hayapo pichani), wakati wa uzinduzi wa mradi wa umeme kwa kila kitongoji nchini uliofanyika, Septemba 24,2020,mkaoni humo. Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amezindua rasmi usambazaji wa Umeme katika kila kitongoji nchini ambapo …

Soma zaidi »

DKT. KALEMANI APIGA MARUFUKU MKANDARASI KUPEWA KAZI ZA REA ZAIDI YA MKOA MMOJA

Na Zuena Msuya na Hafsa Omari, Tabora Waziri wa  Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema kuanzia sasa  ni marufuku kwa wakandarasi watakaotekeleza miradi Ya usambazaji wa umeme vijijini( REA), kupewa kazi katika mikoa miwili na badala yake sasa watapewa kwa kila wilaya bila kujali idadi ya vijiji vilivyopo. Dkt. Kalemani alisema …

Soma zaidi »

KONGAMANO LA NNE LA TEHAMA KUFANYIKA OKTOBA 7 HADI 9

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya TEHAMA, Samson Mwela akizungumza katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (katikati) na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Kongamano la Nne la TEHAMA litakalofanyika Oktoba 7-9 katika Ukumbi wa Mikutano wa …

Soma zaidi »

MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO WAUNGANISHA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kabla ya kushuhudia utiaji saini wa mkataba wa makubaliano wa kuunganisha Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na visiwa vya Unguja na Pemba wakiwa kwenye ukumbi wa Wizara ya …

Soma zaidi »

KITUO CHA AFYA BWISYA CHAPANDISHWA HADHI KUWA HOSPITALI YA WILAYA – MAJALIWA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amepandisha hadhi ya kituo cha afya cha Bwisya kilichoko Ukara wilayani Ukerewe, Mwanza kiwe na hadhi ya hospitali ya wilaya kuanzia leo. Hayo yamesemwa na mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa wakati akizungumza na wakazi …

Soma zaidi »

DOTO JAMES: MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA NCHINI NI KWA MUJIBU WA SHERIA

Na. Farida Ramadhani na Ivona Tumsime, WFM, Dodoma Serikali imesema kuwa miradi yote mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa nchini imeshapangwa ndani ya bajeti za kisekta za Wizara husika ambazo hupitishwa na Bunge kila mwaka. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James wakati wa ufunguzi …

Soma zaidi »