STAMICO YANUNUA MITAMBO MITATU YA UCHORONGAJI MADINI

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeagiza mitambo mitatu ya uchorongaji yenye teknolojia ya kisasa zaidi kuwahi kutumika hapa nchini, ambapo mmoja wa mtambo huu unauwezo wa kuendeshwa kwa kutumia computer na mtu akiwa mbali na mashine

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof Simon Msanjila katika uzinduzi wa mitambo hiyo, na kuipongeza STAMICO kwa hatua waliofikia na uthubutu wa kuleta ushindani katika soko la uchorongaji amewataka watumishi kuendelea kufanya kazi kwa bidi ili kuleta tija na maendeleo kwa Taifa

Ad

Msanjila amesema kuwa Shirika limethubutu na limedhamiria kuleta mapinduzi katika soko la madini kwa kuingia kwa nguvu zote kwenye shughuli za uchorongaji.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa uwezo wa nchi kuzalisha umeme umefikia megawati 3,169.20. Kati ya kiwango hicho, megawati 3,091.7 zimeunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, ikiwa ni sawa na asilimia 97.55 ya umeme wote unaozalishwa nchini

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TANESCO, mafanikio haya yanatokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *