Maktaba ya Kila Siku: September 24, 2020

AJIRA ZAIDI YA 2,000 ZIMEPATIKANA WILAYANI SIHA MKOANI KILIMANJARO

Na, Pius Ntiga, Siha. Zaidi ya ajira 2,000 zimepatikana katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro kwa kipindi cha miaka mitano za wananchi kufanya kazi katika miradi mbalimbali ukiwemo wa Shamba la Mwekezaji la Maparachichi-Africado. Miradi hiyo mikubwa ya Mwekezaji Africado lililopo Kijiji cha Kifufu pamoja na ule wa Shamba la …

Soma zaidi »