DKT. KALEMANI AZINDUA REA KITONGOJI KWA KITONGOJI

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wananchi Kitongoji cha Migombani,kijiji cha Bukene, Wilaya ya Nzega, Mkoani wa Tabora(hayapo pichani), wakati wa uzinduzi wa mradi wa umeme kwa kila kitongoji nchini uliofanyika, Septemba 24,2020,mkaoni humo.

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amezindua rasmi usambazaji wa Umeme katika kila kitongoji nchini ambapo jumla ya vitongoji 64,839 nchini kote vinatarajiwa kuungalishwa na umeme kwa kipindi cha miezi 12 kuanzia sasa.

Uzinduzi rasmi wa usambazaji umeme katika kila Kitongoji umefanyika katika Kitongoji cha Ufuruma Kijiji cha Ufuruma Wilayani Uyui na katika Kitongoji cha Migombani Kijiji cha Bukene Wilayani Nzega mkoani Tabora, Septemba 24, 2020.

Ad

Dkt. Kalemani alisema kuwa mradi huo utagharimu fedha za kitanzania shilingi Bilioni 297.7 na kwamba mradi huo ni endelevu.

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani(mwenye shati la bluu) akikata utepe kuashiria kwa uzinduzi wa usambazaji umeme katika kila kitongoji nchini uliofanyika katika kitongoji cha migombani,kijiji cha Bukene, wilaya ya Nzega, Mkoani wa Tabora,Septemba 24,2020,(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dkt.Philemon Sengati(kushoto) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati vijiji(REA) Wakili Julius Kalolo.

Akizungumzia sababu ya kuchagua Mkoa wa Tabora kuwa kitovu cha kuzindua mradi huo, Dkt. Kalemani alisema kuwa mkoa huo ni mkubwa ikilinganishwa na mikoa mingine nchini, pia una idadi kubwa ya vitongoji ambavyo bado havijaunganishwa kabisa na umeme.

Katika mkoa huo, Vitongoji 122 vinatajiwa kuunganishiwa umeme na Kampuni ya Ukandarasi ya Sengerema ambayo ndiyo imepewa dhamana ya kutekeleza kazi hiyo katika vijiji hivyo ambapo ameahidi kutekeleza mradi huo ndani ya kipindi cha miezi Tisa, badala ya Miezi 12.

“Naomba tuelewane watanzania, Rais Magufuli na Serikali yake alikwisha toa fedha za kupeleka umeme kwenye vijiji vyote na vitongoji vyote,niwaombe watanzania kwenye masuala ya umeme tulieni umeme unakuja kila kitongoji bila kujali kwamba kimeguswa au laa, sasa ni rasmi kuwa vitongoji vyote vinaletewa umeme ,mnachotakiwa wananchi ni kusuka nyaya katika nyumba zenu na umeme huu haubagui nyumba,” alisisitiza Dkt. Kalemani.

Kaimu Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Edward Ishengoma, akiwasalimia wananchi wa Kitongaji cha Ufuruma, Kijiji cha Ufuruma,Wilaya ya Uyui,Mkoani Tabora, kwenye uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme kwa kila kitongoji nchini uliofanyika Septemba 24,2020.(kulia) Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Raphael Nombo.

Na Zuena Msuya na Hafsa Omar, Tabora

Aidha aliendelea kuwataka wananchi kuendelea kulipia gharama za kuunganishiwa umeme bila kusubiri nguzo kuwafikia kwa kuwa tayari umeme utafika katika kila kitongoji kwa gharama ya shilingi 27,000 tu.

Vilevile alisema kuwa wananchi hawapaswi kuhoji kuhusu nguzo kufika katika maeneo yao kwakuwa hilo si jukumu lao, wanachotakiwa kufanya ni kulipia gharama za kuwashiwa umeme tu, na baada ya kulipia gharama ndipo wahoji endapo hawajawashiwa umeme.

Aliwata REA na TANESCO kushirikiana na serikali za vijiji, wilaya na mikoa kutoa elimu na kuwahamasisha wananchi juu ya umuhimu wa umeme na kuunganishwa.

Hata hivyo aliwaonya baadhi ya wakandarasi wenye tabia ya kuruka nyumba za wateja kuwa hiyo haitakubalika na yeyote atakaye binika kufanya hivyo hatua za kisheria itachukuliwa dhidi yake.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa huo, Dkt. Philemon Sengati aliwaasa wananchi wa mkoa huo kuchangamkia fursa ya umeme kwa kuanzisha viwanda vidogo ili kuinua uchumi wao na taifa kwa jumla.

Aidha amewataka kutunza miundombinu ya mradi huo na kutoa ushirikiano kwa wakandarasi wanaoetekeleza mradi huo na kwamba vijana watakaopata ajira wawe wazalendo na kuzingatia kuwa miradi hiyo ni kwa ajili ya watanzania.

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli (Juliana Stephano Kidaso) katika eneo la Kigongo Wilayani Misungwi Mkoani Mwanza

75 Maoni

  1. купить диплом энергетика https://6landik-diploms.com

  2. голяк кубик в кубе бесплатно https://golyak-serial-online.ru

  3. Портал о Ярославле – ваш гид по культурной жизни города. Здесь вы найдёте информацию о театрах, музеях, галереях и исторических достопримечательностях. Откройте для себя яркие события, фестивали и выставки, которые делают Ярославль культурной жемчужиной России.

  4. комплексное продвижение сайтов prodvizhenie-sajtov-v-moskve113.ru .

  5. купить пустой аккаунт телеграмм http://www.kupit-akkaunt-telegramm11.ru .

  6. ххх русский анал с разговорами https://www.safavia.ru .

  7. жк казань купить квартиру от застройщика https://kupit-kvartiru47.ru

  8. I discovered your weblog site on google and verify just a few of your early posts. Proceed to maintain up the very good operate. I simply further up your RSS feed to my MSN News Reader.

  9. сколько стоит открыть замок http://vskrytie-zamkov-moskva113.ru .

  10. Toni Kroos https://tonikroos.prostoprosport-ar.com is a German footballer who plays as a central midfielder for Real Madrid and the German national team. World champion 2014. The first German player in history to win the UEFA Champions League six times.

  11. buy tiktok likes and views buy tiktok likes

  12. Pretty nice post. I just stumbled upon your weblog and wanted to say that I’ve really enjoyed surfing around your blog posts. After all I’ll be subscribing in your feed and I am hoping you write again very soon!

  13. Yassine Bounou https://yassine-bounou.prostoprosport-ar.com also known as Bono, is a Moroccan footballer who plays as a goalkeeper for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Moroccan national team. On November 10, 2022, he was included in the official application of the Moroccan national team to participate in the matches of the 2022 World Cup in Qatar

  14. Luka Modric https://lukamodric.prostoprosport-ar.com is a Croatian footballer, central midfielder and captain of the Spanish club Real Madrid, captain of the Croatian national team. Recognized as one of the best midfielders of our time. Knight of the Order of Prince Branimir. Record holder of the Croatian national team for the number of matches played.

  15. Kobe Bean Bryant https://kobebryant.prostoprosport-ar.com is an American basketball player who played in the National Basketball Association for twenty seasons for one team, the Los Angeles Lakers. He played as an attacking defender. He was selected in the first round, 13th overall, by the Charlotte Hornets in the 1996 NBA Draft. He won Olympic gold twice as a member of the US national team.

  16. Quincy Anton Promes https://quincy-promes.prostoprosport-br.com Dutch footballer, attacking midfielder and forward for Spartak Moscow . He played for the Dutch national team. He won his first major award in 2017, when Spartak became the champion of Russia.

  17. оборудование для сцены актового зала https://oborudovanie-aktovogo-zala13.ru .

  18. Khvicha Kvaratskhelia https://khvicha-kvaratskhelia.prostoprosport-br.com Georgian footballer, winger for Napoli and captain of the Georgian national team. A graduate of Dynamo Tbilisi. He made his debut for the adult team on September 29, 2017 in the Georgian championship match against Kolkheti-1913. In total, in the 2017 season he played 4 matches and scored 1 goal in the championship.

  19. Jack Peter Grealish https://jackgrealish.prostoprosport-br.com English footballer, midfielder of the Manchester City club and the England national team. A graduate of the English club Aston Villa from Birmingham. In the 2012/13 season he won the NextGen Series international tournament, playing for the Aston Villa under-19 team

  20. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thhibaut-courtois.prostoprosport-fr.com Footballeur belge, gardien de but du club espagnol du Real Madrid . Lors de la saison 2010/11, il a ete reconnu comme le meilleur gardien de la Pro League belge, ainsi que comme joueur de l’annee pour Genk. Triple vainqueur du Trophee Ricardo Zamora

  21. Jamal Musiala https://jamal-musiala.prostoprosport-fr.com footballeur allemand, milieu offensif du club allemand du Bayern et du equipe nationale d’Allemagne. Il a joue pour les equipes anglaises des moins de 15 ans, des moins de 16 ans et des moins de 17 ans. En octobre 2018, il a dispute deux matchs avec l’equipe nationale d’Allemagne U16. En novembre 2020, il a fait ses debuts avec l’equipe d’Angleterre U21.

  22. продвижение сайтов в москве гугл http://www.prodvizhenie-sajtov-v-moskve115.ru .

  23. система оснащения конференц залов oborudovanie-konferenc-zalov11.ru .

  24. Edson Arantes do Nascimento https://pele.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, forward (attacking midfielder. Played for Santos clubs) and New York Cosmos. Played 92 matches and scored 77 goals for the Brazilian national team.

  25. Kylian Mbappe Lotten https://kylian-mbappe.prostoprosport-cz.org Francouzsky fotbalista, utocnik Paris Saint-Germain a kapitan tymu francouzskeho tymu. 1. cervence 2024 se stane hracem spanelskeho klubu Real Madrid.

  26. Профессиональные seo https://seo-optimizaciya-kazan.ru услуги для максимизации онлайн-видимости вашего бизнеса. Наши эксперты проведут глубокий анализ сайта, оптимизируют контент и структуру, улучшат технические аспекты и разработают индивидуальные стратегии продвижения.

  27. Alison Ramses Becker https://alisson-becker.prostoprosport-cz.org Brazilsky fotbalista nemeckeho puvodu, brankar klubu Liverpool a brazilsky narodni tym. Je povazovan za jednoho z nejlepsich brankaru sve generace a je znamy svymi vynikajicimi zakroky, presnosti prihravek a schopnosti jeden na jednoho.

  28. Virgil van Dijk https://virgil-van-dijk.prostoprosport-cz.org Nizozemsky fotbalista, stredni obrance, kapitan anglickeho klubu Liverpool a kapitan nizozemskeho narodniho tymu.

  29. Slot machines on the official website and mirrors of the Pin Up online casino https://pin-up.tr-kazakhstan.kz are available for free mode, and after registering at Pin Up Casino Ru you can play for money.

  30. ремонт стиральных машин в москве рядом http://www.centr-remonta-stiralnyh-mashin.ru/ .

  31. Latest news, statistics, photos and much more about Pele https://pele.com.az. Get the latest news and information about football legend Pele.

  32. Explore the extraordinary journey of Kilian Mbappe https://kilian-mbappe.com.az, from his humble beginnings to global stardom. Delve into his early years, meteoric rise through the ranks, and impact on and off the football field.

  33. Khabib Abdulmanapovich Nurmagomedov https://khabib-nurmagomedov.com.az Russian mixed martial arts fighter who performed under the auspices of the UFC. Former UFC lightweight champion.

  34. Diego Armando Maradona https://diego-maradona.com.az Argentine footballer who played as an attacking midfielder and striker. He played for the clubs Argentinos Juniors, Boca Juniors, Barcelona, ??Napoli, and Sevilla.

  35. French prodigy Kylian Mbappe https://realmadrid.kylian-mbappe-cz.com is taking football by storm, joining his main target, ” Real.” New titles and records are expected.

  36. I am glad to be a visitor of this thoroughgoing web blog ! , regards for this rare information! .

  37. thank, I thoroughly enjoyed reading your article. I really appreciate your wonderful knowledge and the time you put into educating the rest of us.

  38. Hi my family member! I want to say that this article is amazing, great written and include approximately all important infos. I’d like to see more posts like this .

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *