SERIKALI KUIIMARISHA TRC KWA KUNUNUA MABEHEWA MENGINE 800 YA MIZIGO, 37 YA ABIRIA NA VICHWA 39 VYA TRENI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa Arusha na Kilimanjaro akikata utepe kuashiria uzinduzi wa huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.

Rais Dkt. John Magufuli leo tarehe 24 Oktoba, 2020 amezindua safari za treni ya abiria kati ya Dar es Salaam Tanga na Arusha ambazo zilisimama zaidi ya miaka 30 iliyopita.

Uzinduzi wa safari hizo umefanyika Jijini Arusha ambapo Mhe. Rais Magufuli amepokea treni ya abiria iliyotoka Jijini Dar es Salaam na kupita katika reli iliyokarabatiwa na wataalamu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC).

Ad
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Arusha mara baada ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.

Ukarabati wa reli hiyo umeanza Desemba 2019 na kukamilika Septemba 2020 kwa gharama ya shilingi Bilioni 14 kwa kutumia wataalamu na vijana wa Tanzania, na tayari treni imeshasafirisha abiria 50,576 na zaidi ya tani 26,000 za mizigo.

Mkurugenzi Mkuu wa TRC Bw. Masanja Kadogosa amesema kuanza kwa safari za treni kati ya Dar es Salaam, Tanga na Arusha kumepunguza gharama za usafiri ambapo nauli ya abiria kati ya Dar es Salaam na Arusha ni shilingi 16,000 ikilinganishwa na shilingi 35,000 inayotozwa kwa usafiri wa mabasi, ilihali usafirishaji wa mizigo kwa tani ni shilingi 68,000 ikilinganishwa na shilingi 110,000 kwa kutumia malori.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa maelekezo kwa viongozi wa TRC mara baada ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.

Bw. Kadogosa ameongeza kuwa pamoja kurejesha usafiri wa treni wa kati ya Dar es Salaam, Tanga na Arusha, TRC inaishukuru Serikali kwa kuiwezesha kukarabati mabehewa ya mizigo 600 ambapo mabehewa 333 yamekamilika, kuunda vichwa vya treni vipya 23, kununua vichwa vipya 11 na kwamba shirika hilo limetenga eneo Jijini Arusha kwa ajili ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuweka eneo la kuhifadhi makontena ili wananchi wapokee mizigo yao ya kutoka nje ya nchi moja kwa moja Arusha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Arusha mara baada ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoka kukagua moja ya behewa la abiria mara baada ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.

Pia ameishukuru Serikali kwa kutekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (standard gauge) kati Dar es Salaam na Dodoma ambapo sehemu ya kwanza ya kuanzia Dar es Salaam hadi Morogoro ujenzi umefikia asilimia 90 na sehemu ya pili ya kuanzia Morogoro hadi Makutupora Dodoma ujenzi umefikia asilimia 45.3.

Rais Magufuli ameipongeza TRC kwa kazi nzuri iliyofanya kukarabati miundombinu ya reli, mabehewa na vichwa vya treni na ameeleza kuwa mafanikio hayo yamedhihirisha kuwa Watanzania wanaweza bila kutegemea wataalamu kutoka nje ya nchi ama kampuni za nje ya nchi kuendesha mashirika ya Tanzania.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Arusha kabla ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akijiandaa kuzungumza na wananchi wa Arusha kabla ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.

Rais Magufuli amempongeza Mkurugenzi Mkuu wa TRC Bw. Masanja Kadogosa na bodi ya TRC kwa usimamizi mzuri wa shirika hilo ambalo lilionekana kupoteza mwelekeo na sasa linakuwa kimbilio la Watanzania na tegemeo la kujenga uchumi wa nchi.

Amesema kwa kutambua umuhimu wa reli, Serikali imedhamiria kuiimarisha TRC ambapo katika mwaka ujao imepanga kununua mabehewa mengine 800 ya mizigo, 37 ya abiria na vichwa 39 vya treni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akijiandaa kuzungumza na wananchi wa Arusha kabla ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Arusha akiwa juu ya treni ya Abiria mara baada ya kuzindua huduma ya usafiri wa Treni ya Abiria ya Shirika la Reli TRC kutoka Dar es Salaam hadi Arusha katika hafla fupi iliyofanyika katika Stesheni ya Arusha leo tarehe 24 Oktoba 2020.

Ametoa wito kwa Watanzania kutoihujumu miundombinu ya reli na badala yake washirikiane na TRC na vyombo vya dola kuilinda isiibiwe ama kuharibiwa.

Sherehe za uzinduzi huo zimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Elias Kwandikwa, Makatibu Wakuu, viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama na viongozi wa Mkoa wa Arusha wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Bw. Idd Hassan Kimanta.

Ad

Unaweza kuangalia pia

AMKA TANZANIA, KAZI NI MAENDELEO, TUIJENGE NCHI YETU.

SIO NDOTO TENA!! TUKIISHI FALSAFA YA 4R YA RAIS DKT SAMIA TUTAJENGA TAIFA IMARA NA …

43 Maoni

  1. купить квартиру от застройщика https://nedvizhimost-47.ru

  2. продвижение сайта yandex https://prodvizhenye-seo.ru

  3. Victor James Osimhen https://victorosimhen.prostoprosport-ar.com is a Nigerian footballer who plays as a forward for the Italian club Napoli and the Nigerian national team. In 2015, he was recognized as the best football player in Africa among players under 17 according to the Confederation of African Football.

  4. Портал о здоровье
    https://www.rezus.ru и здоровом образе жизни, рекомендации врачей и полезные сервисы. Простые рекомендации для укрепления здоровья и повышения качества жизни.

  5. Toni Kroos https://tonikroos.prostoprosport-ar.com is a German footballer who plays as a central midfielder for Real Madrid and the German national team. World champion 2014. The first German player in history to win the UEFA Champions League six times.

  6. сериал волчонок смотреть онлайн в хорошем качестве волчонок

  7. Mohamed Salah https://mohamedsalah.prostoprosport-ar.com is an Egyptian footballer who plays as a forward for the English club Liverpool and the Egyptian national team. Considered one of the best football players in the world. Three-time winner of the English Premier League Golden Boot: in 2018 (alone), 2019 (along with Sadio Mane and Pierre-Emerick Aubameyang) and 2022 (along with Son Heung-min).

  8. Yassine Bounou https://yassine-bounou.prostoprosport-ar.com also known as Bono, is a Moroccan footballer who plays as a goalkeeper for the Saudi Arabian club Al-Hilal and the Moroccan national team. On November 10, 2022, he was included in the official application of the Moroccan national team to participate in the matches of the 2022 World Cup in Qatar

  9. Harry Edward Kane https://harry-kane.prostoprosport-ar.com is an English footballer, forward for the German club Bayern and captain of the England national team. Considered one of the best football players in the world. He is Tottenham Hotspur’s and England’s all-time leading goalscorer, as well as the second most goalscorer in the Premier League. Member of the Order of the British Empire.

  10. Erling Breut Haaland https://erling-haaland.prostoprosport-ar.com is a Norwegian footballer who plays as a forward for the English club Manchester City and the Norwegian national team. English Premier League record holder for goals per season.

  11. The best film magazin https://orbismagazine.com, film industry trade publications in 2024 to keep you informed with the latest video production, filmmaking, photographynews. We create beautiful and magnetic projects.

  12. Kobe Bean Bryant https://kobebryant.prostoprosport-ar.com is an American basketball player who played in the National Basketball Association for twenty seasons for one team, the Los Angeles Lakers. He played as an attacking defender. He was selected in the first round, 13th overall, by the Charlotte Hornets in the 1996 NBA Draft. He won Olympic gold twice as a member of the US national team.

  13. Купити ліхтарики https://bailong-police.com.ua оптом та в роздріб, каталог та прайс-лист, характеристики, відгуки, акції та знижки. Купити ліхтарик онлайн з доставкою. Відмінний вибір ліхтарів: налобні, ручні, тактичні, ультрафіолетові, кемпінгові, карманні за вигідними цінами.

  14. Mohammed Khalil Ibrahim Al-Owais https://mohammed-alowais.prostoprosport-ar.com is a Saudi professional footballer who plays as a goalkeeper for the national team Saudi Arabia and Al-Hilal. He is known for his quick reflexes and alertness at the gate.

  15. Quincy Anton Promes https://quincy-promes.prostoprosport-br.com Dutch footballer, attacking midfielder and forward for Spartak Moscow . He played for the Dutch national team. He won his first major award in 2017, when Spartak became the champion of Russia.

  16. Экспертиза ремонта в квартире https://remnovostroi.ru проводится для оценки качества выполненных работ, соответствия требованиям безопасности и стандартам строительства. Специалисты проверяют используемые материалы, исполнение работ, конструктивные особенности, безопасность, внешний вид и эстетику ремонта. По результатам экспертизы составляется экспертное заключение с оценкой качества и рекомендациями по устранению недостатков.

  17. Larry Joe Bird https://larry-bird.prostoprosport-br.com American basketball player who spent his entire professional career in the NBA ” Boston Celtics.” Olympic champion (1992), champion of the 1977 Universiade, 3-time NBA champion (1981, 1984, 1986), three times recognized as MVP of the season in the NBA (1984, 1985, 1986), 10 times included in the symbolic teams of the season (1980-88 – first team, 1990 – second team).

  18. Damian Emiliano Martinez https://emiliano-martinez.prostoprosport-br.com Argentine footballer, goalkeeper of the Aston Villa club and national team Argentina. Champion and best goalkeeper of the 2022 World Cup.

  19. Laure Boulleau https://laure-boulleau.prostoprosport-fr.com French football player, defender. She started playing football in the Riom team, in 2000 she moved to Isere, and in 2002 to Issigneux. All these teams represented the Auvergne region. In 2003, Bullo joined the Clairefontaine academy and played for the academy team for the first time.

  20. Jude Victor William Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-fr.com English footballer, midfielder of the Spanish club Real Madrid and the England national team. In April 2024, he won the Breakthrough of the Year award from the Laureus World Sports Awards. He became the first football player to receive it.

  21. Karim Mostafa Benzema https://karim-benzema.prostoprosport-fr.com French footballer, striker for the Saudi club Al-Ittihad . He played for the French national team, for which he played 97 matches and scored 37 goals.

  22. Sweet Bonanza https://sweet-bonanza.prostoprosport-fr.com is an exciting slot from Pragmatic Play that has quickly gained popularity among players thanks to its unique gameplay, colorful graphics and the opportunity to win big prizes. In this article, we’ll take a closer look at all aspects of this game, from mechanics and bonus features to strategies for successful play and answers to frequently asked questions.

  23. Philip Walter Foden https://phil-foden.prostoprosport-fr.com better known as Phil Foden English footballer, midfielder of the Premier club -League Manchester City and the England national team. On December 19, 2023, he made his debut at the Club World Championship in a match against the Japanese club Urawa Red Diamonds, starting in the starting lineup and being replaced by Julian Alvarez in the 65th minute.

  24. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thhibaut-courtois.prostoprosport-fr.com Footballeur belge, gardien de but du club espagnol du Real Madrid . Lors de la saison 2010/11, il a ete reconnu comme le meilleur gardien de la Pro League belge, ainsi que comme joueur de l’annee pour Genk. Triple vainqueur du Trophee Ricardo Zamora

  25. Jamal Musiala https://jamal-musiala.prostoprosport-fr.com footballeur allemand, milieu offensif du club allemand du Bayern et du equipe nationale d’Allemagne. Il a joue pour les equipes anglaises des moins de 15 ans, des moins de 16 ans et des moins de 17 ans. En octobre 2018, il a dispute deux matchs avec l’equipe nationale d’Allemagne U16. En novembre 2020, il a fait ses debuts avec l’equipe d’Angleterre U21.

  26. Philippe Coutinho Correia https://philippecoutinho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, midfielder of the English club Aston Villa, playing on loan for the Qatari club Al-Duhail. He is known for his vision, passing, dribbling and long-range ability.

  27. Karim Mostafa Benzema https://karim-benzema.prostoprosport-br.com Futebolista frances, atacante do clube saudita Al-Ittihad . Jogou pela selecao francesa, pela qual disputou 97 partidas e marcou 37 gols.

  28. Kaka https://kaka.prostoprosport-br.com Futebolista brasileiro, meio-campista. O apelido “Kaka” e um diminutivo de Ricardo. Formado em Sao Paulo. De 2002 a 2016, integrou a Selecao Brasileira, pela qual disputou 92 partidas e marcou 29 gols. Campeao mundial 2002.

  29. Jude Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-br.com Futebolista ingles, meio-campista do clube espanhol Real Madrid e do Selecao da Inglaterra. Em abril de 2024, ele ganhou o premio Breakthrough of the Year do Laureus World Sports Awards. Ele se tornou o primeiro jogador de futebol a recebe-lo.

  30. Virgil van Dijk https://virgilvandijk.prostoprosport-br.com Futebolista holandes, zagueiro central, capitao do clube ingles Liverpool e capitao do a selecao holandesa.

  31. Victor James Osimhen https://victor-osimhen.prostoprosport-br.com e um futebolista nigeriano que atua como atacante. O clube italiano Napoli e a selecao nigeriana.

  32. Thomas Mueller https://thomasmueller.prostoprosport-br.com is a German football player who plays for the German Bayern Munich. Can play in different positions – striker, attacking midfielder. The most titled German footballer in history

  33. Edson Arantes do Nascimento https://pele.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, forward (attacking midfielder. Played for Santos clubs) and New York Cosmos. Played 92 matches and scored 77 goals for the Brazilian national team.

  34. Robert Lewandowski https://robert-lewandowski.prostoprosport-cz.org je polsky fotbalista, utocnik spanelskeho klubu Barcelona a kapitan polskeho narodniho tymu. Povazovan za jednoho z nejlepsich utocniku na svete. Rytir krize velitele polskeho renesancniho radu.

  35. Thibaut Nicolas Marc Courtois https://thibaut-courtois.prostoprosport-cz.org Belgicky fotbalista, brankar spanelskeho klubu Real Madrid . V sezone 2010/11 byl uznan jako nejlepsi brankar v belgicke Pro League a take hrac roku pro Genk. Trojnasobny vitez Ricardo Zamora Trophy

  36. Toni Kroos https://toni-kroos.prostoprosport-cz.org je nemecky fotbalista, ktery hraje jako stredni zaloznik za Real Madrid a nemecky narodni tym. Mistr sveta 2014. Prvni nemecky hrac v historii, ktery sestkrat vyhral Ligu mistru UEFA.

  37. Romelu Menama Lukaku Bolingoli https://romelu-lukaku.prostoprosport-cz.org Belgicky fotbalista, utocnik anglickeho klubu Chelsea a Belgican vyber. Na hostovani hraje za italsky klub Roma.

  38. Sports in Azerbaijan https://idman-xeberleri.com.az development and popular sports Azerbaijan is a country with rich sports traditions and outstanding achievements on the international stage.

  39. Pin up entry to the official website. Play online casino Pin Up https://pin-up.prostoprosport.ru for real money. Register on the Pin Up Casino website and claim bonuses!

  40. NHL (National Hockey League) News https://nhl.com.az the latest and greatest NHL news for today. Sports news – latest NHL news, standings, match results, online broadcasts.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *