Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akishuhudia Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma
akimuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.
Hussein Mwinyi kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamhuiri ya
Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Desemba 16, 2020Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akishuhudia Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma
akimuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.
Hussein Mwinyi kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamhuiri ya
Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Desemba 16, 2020Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akishuhudia Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma
akimuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.
Hussein Mwinyi kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamhuiri ya
Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Desemba 16, 2020Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mawaziri la
Jamhuiri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Desemba 16, 2020Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akishuhudia Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma akimkabidhi
nyenzo za kazi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dkt. Hussein Mwinyi baada ya kuapishwa kuwa mjumbe wa Baraza la
Mawaziri la Jamhuiri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo
Desemba 16, 2020Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimkabidhi nyenzo za kazi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi baada ya kuapishwa kuwa mjumbe wa
Baraza la Mawaziri la Jamhuiri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma
leo Desemba 16, 2020