Maktaba ya Kila Siku: January 7, 2021

DKT. NDUGULILE ATAKA TEKNOLOJIA RAHISI ZITUMIKE KUFIKISHA HUDUMA ZA MAWASILIANO

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile akiwaonesha na kuwataka Menejimenti na wafanyakazi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote watekeleze Ilani ya CCM ya mwaka 2020 – 2025 na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa wakati akifungua Bunge wakati …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU MAJALIWA – UBORA WA MIRADI ULINGANE NA THAMANI YA FEDHA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema miradi yote inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini lazima isimamiwe vizuri ili kuhakikisha inakuwa na viwango vinavyoendana na thamani ya fedha iliyotolewa na Serikali. “Maelekezo ya Serikali kwenye maeneo yote muhimu ya miradi isimamiwe kwa kina na hasa thamani ya fedha na viwango vya ujenzi wa …

Soma zaidi »