RAIS WA MSUMBIJI FILIPE NYUSI KUFANYA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili hapa nchini Tanzania kuanzia tarehe 11 – 12 Januari 2021 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb)

Akithibitisha juu ya ziara hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amesema kuwa Mhe. Nyusi atawasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika uwanja wa ndege wa Geita – Chato

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel.

Unaweza kuangalia pia

UZINDUZI WA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO – BUSISIA

Asante Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wana Mwanza …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *