Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimlaki mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji
ambaye pia ni Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi katika
Uwanja wa Ndege wa Geita aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya
siku moja leo Jumatatu Januari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akimlaki mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji
ambaye pia ni Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi katika
Uwanja wa Ndege wa Geita aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya
siku moja leo Jumatatu Januari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akitambulisha Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kwa mgeni wake
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji ambaye pia ni Mwenyekiti wa SADC Mhe.
Filipe Jacinto Nyusi katika Uwanja wa Ndege wa Geita alipowasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Januari 11, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimshukuru mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji ambaye pia ni
Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi kwa kuweka Jiwe la
Msingi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita
alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu
Januari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji ambaye pia ni Mwenyekiti wa
SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakifunua pazia kuashiria Uwekaji wa
Jiwe la Msingi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita
alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu
Januari 11, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na
Watoto Dkt. Dorothy Gwajima wakimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Msumbiji
ambaye pia ni Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi kuweka jiwe
la Msingi kwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita mara
tu baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo
Jumatatu Januari 11, 2021
Muonekano wa mbele wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda,Chato.Waziri wa Afya,Dkt.Dorothy Gwajima amesema ujenzi wa hospitali hiyo ukikamilika itakuwa na majengo 13 na itahudumia wagonjwa 700 hadi 1,000 kwa siku.Aidha amesema kutafanyika upanuzi na kuongezwa huduma za kibingwa.Ndege iliyomchukua Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Januari 11, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakifurahia ngoma za utamaduni katika Uwanja wa Ndege wa Geita mara alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Janruari 11, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha kwa viongozi mbalimbali mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi aliopowasili ili kuweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita leo Jumatatu Janruari 11, 2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakisikiliza maelezo toka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Watoto kabla ya kuweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita leo Jumatatu Janruari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakimsikiliza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Watoto baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita alikowasili kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Janruari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Janruari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi zawadi ya picha ya kuchora ya THE BIG FIVE mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Janruari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshuhudia mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi akimwagilia maji mti alioupanda baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita alikowasili kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Janruari 11, 2021Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakimsikiliza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Watoto baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato mkoani Geita alikowasili kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Jumatatu Janruari 11, 2021