Maktaba ya Kila Siku: January 25, 2021

UWASILISHWAJI WA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA TBS KWA KAMATI YA KUDUMU YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Dkt. Yusuph Ngenya akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya TBS kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Bungeni Dodoma, Januari 25,2021. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe akijibu hoja mbalimbali zinazohusu Shirika la Viwango …

Soma zaidi »

MAUAJI YA MKULIMA YAWE MWISHO – WAZIRI NDAKI

Na. Edward Kondela Serikali imewataka wakulima na wafugaji wanaofanya shughuli zao kwenye maeneo wasiyoruhusiwa, kuondoka mara moja na kuwataka wafuate sheria, taratibu na kanuni za nchi ambapo wakulima na wafugaji wanatakiwa kuwa kwenye maeneo waliyotengewa kisheria bila kuingiliana. Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki amebainisha hayo (24.01.2021) akiwa …

Soma zaidi »

WAZIRI BASHUNGWA: SEKTA ZA WIZARA YA HABARI NI MIHIMILI MUHIMU NCHINI

Na Shamimu Nyaki – WHUSM  Sekta za Wizara ya Habari ni sekta muhimu  zenye  mchango mkubwa katika kuchangia uchumi wa nchi na kuleta  maendeleo.  Hayo yamesemwa  leo Jijini Dodoma na Waziri  wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa wakati akiwasilisha Muundo pamoja na Majukumu ya Wizara hiyo …

Soma zaidi »

RAIS DKT MAGUFULI AMPOKEA MGENI WAKE RAIS WA ETHIOPIA SAHLE-WORK ZEWDE ALIYEWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Ethiopia Mhe. Sahle-Work Zewde mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Geita mjini Chato leo Jumatatu Januari 25, 2021kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Rais wa Jamhuri ya Muungano …

Soma zaidi »

WAZIRI KALEMANI AIGIZA TPDC KUKAMILISHA UFUNGAJI WA MITAMBO YA KUSINDIKA GESI ASILIA

Na Dorina Makaya – Dar-es-salaam. Waziri waNishati Mhe. Dkt. Medard kalemani ameliagiza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kukamilisha ufungaji wa mitambo ya kusindika gesi asilia (Compressed Natural Gas – CNG) kwa matumizi ya magari ndani ya miezi sita. Waziri Kalemani ametoa maagizo hayo kwa TPDC tarehe 23 Januari, …

Soma zaidi »

AMANI NA USALAMA NI MUHIMU KWA KUVUTIA WAWEKEZAJI – WAZIRI MKUU MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua mwongozo wa uwekezaji mkoa wa Iringa na amesema kwamba Serikali itaendelea kudumisha amani na utulivu ambao ni muhimu kwa wawekezaji na wananchi, hivyo ametoa wito kwa wawekezaji wasisite wa ndani na nje kuwekeza nchini. Amesema uwekezaji ni tegemeo la Taifa katika kukuza uchumi wake na kuongeza ajira, …

Soma zaidi »