RAIS WA ZANZIBAR DK. HUSSEIN ALI MWINYI AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU DK. ALI MOHAMED SHEIN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi AlhajDk. Hussein Ali Mwinyi akimsalimia Rais Mstaaf wa Zanzibar Awamu yaSaba Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili nyumbani kwake KibeleWilaya ya Kati  Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya kumsalimia nakuzungumza naye.

Rais Mstaafu wa Zanzibar Awamu ya Saba Alhaj Dk. Ali MohamedShein akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi alipofika nyumbani kwake Kibelekwa ajili ya kumjulia hali na kuzungumza naye. (Picha na Ikulu.)

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WOMENLIFT HEALTH

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Maelezo kutoka kwa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *