Maktaba ya Kila Siku: February 22, 2021

MAKAMU WA RAIS SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MADINI 2021

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa mbalimbali za Mapambo alipotembelea maonesho ya Shughuli za Madini katika Kongamano la kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini 2021 lenye lengo la kutangaza fursa za Uwekezaji katika Sekta za Madini ziliopo Nchini  na kuwaunganisha …

Soma zaidi »

DARAJA LA MWASONGE KUUNGANISHA MISUNGWI NA NYAMAGANA

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), mkoani Mwanza umedhamiria kuunganisha Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Nyamagana kupitia ujenzi wa Daraja la Mwasongwe lililopo Mto Nyashishi ili kuwezesha wananchi kufanya shughuli zao za usafiri na usafirishaji kwa urahisi. Hayo yamesemwa na Meneja wa …

Soma zaidi »

TUTAENDELEA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA MAENDELEO – RIDHIWANI KIKWETE

Na. Andrew Chale, Chalinze Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amewashukuru na kuendelea kuwakaribisha Wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha sambamba na Serikali ya Wanafunzi wa Chuo hicho (IFM) kwa kutenga muda wao na kusaidia jamii ndani ya jimbo hilo. Ridhiwani Kikwete ametoa shukrani hiyo, alipokuwa mgeni rasmi …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKABIDHI MAGARI KWA JESHI LA POLISI MKOANI LINDI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekabidhi magari mawili kwa ajili ya matumizi ya Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi yatakayowezesha askari kutoa huduma katika maeneo ya mkoa huo. Amekabidhi magari hayo jana (Jumapili, Februari 21, 2021) baada ya kuzungumza na wananchi katika kituo cha Polisi Mtama ambako makabidhiano hayo yalifanyika. Magari …

Soma zaidi »

KATIBU MKUU MWAKALINGA AKAGUA KAZI YA UCHIMBUAJI TOPE DARAJA LA JANGWANI

Muonekano wa Daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam ambalo kazi ya uchimbuaji tope ili kudhibiti mafuriko pindi mvua za masika zitakapoanza baadaye mwezi ujao. Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) Arch. Elius Mwakalinga akisisitiza jambo kwa Meneja Mradi wa Usafishaji Daraja la Jangwani, Eng. Elisony …

Soma zaidi »

MKUU WA WILAYA MBARALI “HUWEZI KUTENGANISHA KODI NA MAENDELEO”

Na Veronica KazimotoMbarali Mkuu wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya Reuben Mfune amewaambia wafanyabiashara wa wilayani hapa kuwa, ni vigumu kutengenisha kodi na maendeleo kwani maendeleo ya nchi yoyote ile duniani hutegemea kodi. Ameyasema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa semina ya wafanyabiashara hao kufuatia kampeni ya elimu kwa mlipakodi …

Soma zaidi »

PROGRAMU RUNUNU YA NAPA KUNUFAISHA SEKTA MTAMBUKA

Na Faraja Mpina, WMTH Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imewakutanisha wadau mbalimbali wa Anwani za Makazi na Postikodi ili waweze kutoa maoni kuhusu ujenzi wa Programu Rununu ya Anwani za Makazi na Postikodi (National Adddressing and Postcode mobile Application-NAPA) unaoendelea kufanyika Mkoani Morogoro na timu ya wataalamu wa …

Soma zaidi »